PhD inalipa? Iweje wafanye u-MC wa kitchen party?

PhD inalipa? Iweje wafanye u-MC wa kitchen party?

ndinmiemQUOTE="nyangulo laizer, post: 34860501, member: 588687"]
Mxaga ninani?maboya tu axa ukabila mjinga wewe waxaga washamba tu lbda mbege na viduka uswaz ndo wanajua

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Ume mind kisa mchaga na ana PHD .Go my brother go huku unakunja hela waache watu wafe na tai shingoni
 
Jitahidi kutengeneza mianya mingi ya hela kadri uwezavyo
 
Ukiona kazi anafanya mchagga ujue inalipa sana.Wewe kufa na Phd yako mbuzi usichanhamkie besa mtaani.Go my brother MC .Hakuna kazi ndogo wala kubwa duniani.Kuna mwl mmoja alikuwa anafundisha makongo sec alikuwa anaitwa kama sikosei Mr Mbowe akawa nafanya uMC achagui kazi anakusanya fweza sasa hivi anamtaa wake hapo mbezi beach.Kuanzia ukumbi wa kiramuu,shule ya sekkndari nk mtaa karibu mzima kuanzia hapa barabara ya morogoro mpaka karibu na njia ya kuelekea Goba ni vitega uchumi vyake.Sasa kaa hapo na vipepa vyako vya PHD huna hata hela ya kulipa bili unasubiri utukanywe na Jiwe mbele za watu na mshahara wa milion 2m.
uyo soon ananyang'anywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli usiopingika kuwa PhD (ya kusomea) ndio shahada ya juu kabisa Chuo Kikuu kinaweza kutoa hapa duniani.
Lakini wanazuoni wamehusisha shahada hii na mafanikio ya kifedha.

Dhahiri pia ni kwamba PhD kwa bongo hailipi kutokana na waliopata kusaka fursa za kitaa ikiwemo kuwa Mc wa Kitchen party shughuli ambazo hata Asha Ngedere ambae kaishia darasa la 2 anaifanya kwa ufanisi pia. Sio level za PhD kuwa MC uswazi bali inategemewa PhD kufanya za kutatua matatizo yanayoikabili dunia na si kukimbizana na Kitchen parties kitaa.
Unachokoza watu wewe.Ngoja waje wale jamaa kutoka UDASA mpaka utaomba poooo!!!

Mtu anaweza kuwa na elimu ya darasani lakini pasipo na akili.Pia mtu anaweza kuwa na akili pasipo elimu ya darasani.

Kwa hiyo,elimu na akili katika maisha ni "relative terms"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu elimu inakusaidia kupambana na mazingira yanayokuzunguka tu,ila wewe fanya kazi yoyote inayokupa kipato halali na kuweza kiendesha maisha yako na familia yako
 
Ni ukweli usiopingika kuwa PhD (ya kusomea) ndio shahada ya juu kabisa Chuo Kikuu kinaweza kutoa hapa duniani.
Lakini wanazuoni wamehusisha shahada hii na mafanikio ya kifedha.

Dhahiri pia ni kwamba PhD kwa bongo hailipi kutokana na waliopata kusaka fursa za kitaa ikiwemo kuwa Mc wa Kitchen party shughuli ambazo hata Asha Ngedere ambae kaishia darasa la 2 anaifanya kwa ufanisi pia. Sio level za PhD kuwa MC uswazi bali inategemewa PhD kufanya za kutatua matatizo yanayoikabili dunia na si kukimbizana na Kitchen parties kitaa.
Kwan mnamzungunzia PhD yupi yule hemed au mbn hana k2 mtaani nenda pale Marrybrown M City anashinda hapo daily hana jambo
 
Dunia ya sasa elimu yako ili ikupe thamani zaidi lazima uwe na pesa pia, jamaa yangu kasomea MD anapiga kazi muhimbili na hospital nyingine for part time lakini pia ni MC mkubwa tu mjini hapa, weekend yupo zake ukumbini uko anachezesha watu kwaiyo kwa msaa 4 ama 5 anachukua mpunga wake mrefu tu.
 
Back
Top Bottom