Pharmacy walitaka kumuua mke wangu kwa majibu yao ya uongo

R Mbuna

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
2,283
5,369
Habari za jioni wana jukwaa.

Kama heading hapo juu inavyojieleza wife alienda kupima sukari kwenye pharmacy kwa sababu alikuwa anahisi uchovu wa mwili na kizunguzungu.So jamaa walimpima damu ya malaria ikawa negative wakcheki sukari wakakuta inasoma 20.

Wife akanipigia simu nikiwa kazini kuwa amepima sukari na kipimo kinasoma hivyo nilichnaganyikiwa kwa kweli na yeye pressure ikapanda.

Ikabidi niombe ushauri hapa JF watu wakanishauri niende mbele zaidi kwa ajili ya uchunguzi na tiba.

Nikaenda Hindumandal kwa Dokta Kaushik alivyompima akaikuta 4.5 akasema mbona ya kawaida tu hii wala haina madhara na hapo wife alikuwa hajakula chochote. Sikuamini nikaenda kwa dokta mmoja hivi anaitwa Dokta Abbas anapatikana maeneo ya fire pale tukakuta 5.

My Take :
Hospitali zipo kwa ajili ya Uchunguzi na tiba ila pharmacy kwa ajili ya kuuza dawa na ushauri . Kwa majibu yao na vipimo vyao nahisi wangeniulia mke wangu kama ningeanza kutumia dawa zao za sukari.
 
Shukuru kwa kudanganywa kidogo tu hivyo..

Je ungedanganywa kikubwa kuwa ni HIV+ si ungekufa kwa pressure?
Ila nami nmejifunza kitu hapaa
HIV sio isue,ni managable,labda kama huna hela ya kula,ogopa saratani,kisukari
 
Hivi........
Kwanini ambao hatuna uwezo hata wa kupata fudi ya kutwa kama inavyo takikana.....
Kweli tunaweza kwenda na kumudu gharama za hao madaktari wote ulio waorodhesha....
Mhhhhhh.......
Nimejikuta nawaza ghafla kwamba vifo vingi vya masikini husababishwa na ufukara
 
Pharmacy ni mahali unaenda pata au nunua tena baada ya maelekezo(prescription) ya cheti cha daktari.pole sana ni somo kwa wengine.
 
kweli nimeamini vilaza wapo wengi, wewe ni mtu mzima unajijua hali yako jinsi ilivyo kila siku una kwenda pharmacy kutafuta vipimo, toka lini pharmacy wakatoa vipimo? angekufa ni uzembe wake zahanati zipo, hospitali zipo madaktari, matabibu wapo n.k, we unakwenda pharmacy! Huko pharmacy wanapokea vyeti vya dawa(prescription) toka kwa dr. acheni ujinga ndio maana mnaitwa vilaza ...........!!!!!
 
Pia kumbuka kuwa pharmacy siyo maabara, pharmacy ni kwa ajili ya kutoa dawa tu, labda na ushauri kidigo but siyo kupima!
 
Habari za jioni wana jukwaa.

Kama heading hapo juu inavyojieleza wife aDorcus Kitundukda kupima sukari kwenye pharmacy kwa sababu alikuwa anahisi uchovu wa mwili na kizunguzungu.So jamaa walimpima damu ya malaria ikawa negative wakcheki sukari wakakuta inasoma 20.

Wife akanipigia simu nikiwa kazini kuwa amepima sukari na kipimo kinasoma hivyo nilichnaganyikiwa kwa kweli na yeye pressure ikapanda.

Ikabidi niombe ushauri hapa JF watu wakanishauri niende mbele zaidi kwa ajili ya uchunguzi na tiba.

Nikaenda Hindumandal kwa Dokta Kaushik alivyompima akaikuta 4.5 akasema mbona ya kawaida tu hii wala haina madhara na hapo wife alikuwa hajakula chochote. Sikuamini nikaenda kwa dokta mmoja hivi anaitwa Dokta Abbas anapatikana maeneo ya fire pale tukakuta 5.

My Take :
Hospitali zipo kwa ajili ya Uchunguzi na tiba ila pharmacy kwa ajili ya kuuza dawa na ushauri . Kwa majibu yao na vipimo vyao nahisi wangeniulia mke wangu kama ningeanza kutumia dawa zao za sukari.
Habari za jioni wana jukwaa.

Kama heading hapo juu inavyojieleza wife alienda kupima sukari kwenye pharmacy kwa sababu alikuwa anahisi uchovu wa mwili na kizunguzungu.So jamaa walimpima damu ya malaria ikawa negative wakcheki sukari wakakuta inasoma 20.

Wife akanipigia simu nikiwa kazini kuwa amepima sukari na kipimo kinasoma hivyo nilichnaganyikiwa kwa kweli na yeye pressure ikapanda.

Ikabidi niombe ushauri hapa JF watu wakanishauri niende mbele zaidi kwa ajili ya uchunguzi na tiba.

Nikaenda Hindumandal kwa Dokta Kaushik alivyompima akaikuta 4.5 akasema mbona ya kawaida tu hii wala haina madhara na hapo wife alikuwa hajakula chochote. Sikuamini nikaenda kwa dokta mmoja hivi anaitwa Dokta Abbas anapatikana maeneo ya fire pale tukakuta 5.

My Take :
Hospitali zipo kwa ajili ya Uchunguzi na tiba ila pharmacy kwa ajili ya kuuza dawa na ushauri . Kwa majibu yao na vipimo vyao nahisi wangeniulia mke wangu kama ningeanza kutumia dawa zao za sukari.
Unasema alikutwa inasoma 20 na ukaenda kwingine ikasoma 4.5 na halafu tena ukaenda kwingine ikasoma 5.Hapa bado hujasema kitu kwa sababu hiyo 20, 4.5 na 5 ni mapera, maembe, vitabu, mawe au madudu gani.Kwa mfano una nunua mafuta ya kula lita 20, unapima suruali kiuno kiuno inchi 20, au centimeter 4.5, au maji galoni 4.5 au urefu wa mkia wa ng'ombe foot 5.Wewe hivyo vipimo vyamkeo ni vipimo kwa kipimio gani? Halafu kama ulivyoelezwa pharmacy hawahusiki na vipimo hivyo na wala sio kazi yao.Ulitakiwa uende kwa Daktari ambae angekutuma kwenda maabara na yeye kwa mujibu wa sheria angekuandikia dawa ili uende kununua pharmacy kama kipimo kingionesha una matatizo.Kumbuka kuwa sukari mwilini inaweza kuonekana imepanda au kushuka kutokana na sababu nyingi za kibiolojia na lishe.Vivo hivyo na presure ina weza kupanda na kushuka kutokana sababu nyingi tofauti.Unaweza kutoka kufanya ngono ukapima presure ukakuta iko juu sana lakini baada ya masaa kadhaa kupita ukapima tena ukakuta iko normal.Kwa hiyo huwezi kulaumu aliekupima kwanza ukamwita mwongo na yule aliekupima baadae mkweli.Kazi ya uganga ni ngumu.
 
Habari za jioni wana jukwaa.

Kama heading hapo juu inavyojieleza wife alienda kupima sukari kwenye pharmacy kwa sababu alikuwa anahisi uchovu wa mwili na kizunguzungu.So jamaa walimpima damu ya malaria ikawa negative wakcheki sukari wakakuta inasoma 20.

Wife akanipigia simu nikiwa kazini kuwa amepima sukari na kipimo kinasoma hivyo nilichnaganyikiwa kwa kweli na yeye pressure ikapanda.

Ikabidi niombe ushauri hapa JF watu wakanishauri niende mbele zaidi kwa ajili ya uchunguzi na tiba.

Nikaenda Hindumandal kwa Dokta Kaushik alivyompima akaikuta 4.5 akasema mbona ya kawaida tu hii wala haina madhara na hapo wife alikuwa hajakula chochote. Sikuamini nikaenda kwa dokta mmoja hivi anaitwa Dokta Abbas anapatikana maeneo ya fire pale tukakuta 5.

My Take :
Hospitali zipo kwa ajili ya Uchunguzi na tiba ila pharmacy kwa ajili ya kuuza dawa na ushauri . Kwa majibu yao na vipimo vyao nahisi wangeniulia mke wangu kama ningeanza kutumia dawa zao za sukari.


wewe mbuna ulikua beki uchochoro sana pale yanga!.. ulikua mzito kufanya maamuzi na ulikua unatumia nguvu kuliko akili ndio maana machupa alikua anakupiga matobo atakavyo..haishangazi hata baada ya kustaafu soka bado unayumba hata kwenye maamuzi ya kawaida kabisa katika maisha
 
Back
Top Bottom