ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,451
- 119,068
Neemababy, acha mambo ya copy and paste toka magharibi. Ni watanzania wangapi wanajua petition? Je, umejiuliza kama serikali yako inatambua petition??
Nadhani hata hukufikiria kabla ya kuleta bango lako, it's true Makonda was/is wrong, kuvamia radio/tv station is wrong, tuhuma dhidi yake kuhusu vyeti ni wrong, he needs to come clean, lakini sio kwa vi-petition vyako.
Nadhani hata hukufikiria kabla ya kuleta bango lako, it's true Makonda was/is wrong, kuvamia radio/tv station is wrong, tuhuma dhidi yake kuhusu vyeti ni wrong, he needs to come clean, lakini sio kwa vi-petition vyako.
