Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Katika taarifa ya radio france international wamesema kura zimehesabiwa upya na matokeo yamempa ushindi peter mudharika kama ilivyo kuwa awali;hii ni pigo tena kwakwe
Some lessons!!!!
Huyu bibie aangaliwe na madaktari kwa karibu , asije akapata heart attack