GE2025 Peter Msigwa apenya Iringa Mjini

GE2025 Peter Msigwa apenya Iringa Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,572
Reaction score
2,495
Aliyekuwa kada wa CHADEMA Peter Msigwa amepenya kwenye hatua ya awali katika jimbo la Iringa mjini. Miongoni mwa aliopita nao ni Jesca Msambatavangu mbunge anayemaliza muda wake hivi sasa.
 
The expected KUMPOZA TU ............................ zawadi ya msaliti wa adui wa CCM lazima apozwe........ kuwavuta wengine and most likely na ubunge watampa...........KUMPOZA
Shida itaanzia jimboni,kuna Wana ccm waliokisotea chama watakubali?
 
The expected KUMPOZA TU ............................ zawadi ya msaliti wa adui wa CCM lazima apozwe........ kuwavuta wengine and most likely na ubunge watampa...........KUMPOZA
We baki na ujinga wako........mwenzio watoto wapo Marekani wanasoma, mke ubelgiji kwenye apartment iliyotokana na tone tone
 
Je hatua inayofuata bado itakuwa approved na hao vibosile wa KM ya HK taifa?

Kama ngoma kwa sasa itamalizwa na wajumbe basi kuna waliobebwa 2020 hawatoboi.
 
muulize mama yako kama mimi ni mjinga, tusingelikuzaa wewe uwe na adabu, mimi baba yako
Hahahaaaaa, maajabu hayatoisha Dunia hiii; shoga anakuaje baba?!!!! We ukiingia kwenye 18 za mama yangu si anakulawiti asubuhi na mapema?!!!
 
Back
Top Bottom