tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
polen kwa ambayo yamekuwa yakijiri nchini kwetu tangu uteuzi wa wagombea, kuanza kwa kampen, uchaguzi, matokeo na mpaka tarehe 5january_Arusha. Kuna jambo limekuwa likinitatiza kila siku juu ya masuala ya mahusiano, jambo lenyewe ni pete ya uchumba_kwanini avae mdada pekee? Binafsi kitendo hiki naona kama kinambana mdada na kumuacha mvulana huru na kuendelea kuvunja amri ya thita kama hana akili nzuri wakati mdada akiendelea kuogopwa kwsbb ya pete yake. Nauliza kwann wote wasivae pete hizo?