Pete ya uchumba kwann huvaliwa na mabinti pekee?

polen kwa ambayo yamekuwa yakijiri nchini kwetu tangu uteuzi wa wagombea, kuanza kwa kampen, uchaguzi, matokeo na mpaka tarehe 5january_Arusha. Kuna jambo limekuwa likinitatiza kila siku juu ya masuala ya mahusiano, jambo lenyewe ni pete ya uchumba_kwanini avae mdada pekee? Binafsi kitendo hiki naona kama kinambana mdada na kumuacha mvulana huru na kuendelea kuvunja amri ya thita kama hana akili nzuri wakati mdada akiendelea kuogopwa kwsbb ya pete yake. Nauliza kwann wote wasivae pete hizo?
Unatafuta usawa bibie/baba? wanaoitapa pete ni akinadada sie wala hahah, na mwishoe utasema kwanini wanawake ndio wanahamia kwa mme hahah au kwanini wanakuwa sent off? labda tuwaulizeni akinadada ni kwa nini mnapenda hii pete ya uchumba?
 
Kuvaa pete ni haki ya mwanamke. Kwanza ni alama (kufuli la wazi), milango imefungwa, no more application (closed), wanaume wote mpeni heshima, shikeni adammu, hakuna miluzi wala papala. Inamlinda kwanza mwanaume yoyote akiiona anpoteza hamu, kama alianza kumwazia atajutia.

Ni fahari hata mbele ya wanawake wenzake, ni alama ya kuwa mama etc. Yapo mingi hatuwezi hata kumaliza.]]

lakini wangevaishwa hawa vidume, siamini kama vingeacha kutafuta hata kama vina pete kidoleni.
 
Kuvaa pete ni haki ya mwanamke. Kwanza ni alama (kufuli la wazi), milango imefungwa, no more application (closed), wanaume wote mpeni heshima, shikeni adammu, hakuna miluzi wala papala. Inamlinda kwanza mwanaume yoyote akiiona anpoteza hamu, kama alianza kumwazia atajutia.

Ni fahari hata mbele ya wanawake wenzake, ni alama ya kuwa mama etc. Yapo mingi hatuwezi hata kumaliza.]]

lakini wangevaishwa hawa vidume, siamini kama vingeacha kutafuta hata kama vina pete kidoleni.
hahah mbona tunazivaa tukishao, na akimama wenyepete guest house wamo au unakataa? hahah,
ila umejibu vizuri mpaka na mie nikajisikia fahari kumvesha mdada pete thks
 
Back
Top Bottom