ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #41
wanawake hatuko hivyo hapo nakupinga kabisa nyie ndo mnatutenda sana tena sana
tunabaki na vidonda vya moyoni kwa ajili yenu asanteni kwa jinsi mnavyotufanyia ila Mungu atawalipa
mara kumi zaidi kwa yale mnayotufanyia siye wanawake
tunabaki na vidonda vya moyoni kwa ajili yenu asanteni kwa jinsi mnavyotufanyia ila Mungu atawalipa
mara kumi zaidi kwa yale mnayotufanyia siye wanawake
Yoote ni kweli but hata wadada mko hivo jamani. Uliposema sio wote umemaliza kila kitu, SIO WOTE