mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 773
- 2,587
Pesa ni sabuni ya roho , nazani bada ya MUNGU, familia pesa zinafuata, kwa akili zangu na experience yangu mtaani hali ya maisha mtaani ni ngumu sana no money here, nimekumbuka miaka ya 2010 -2015 ukiwa na Dili ya pesa nyingi unawapigia wanao wawili wakuwekee fedha unafanya Dili unawarudishia, hii stori sasa haipo ,tangaza kitu Cha milioni kuanzia Tano mfano gari , uwanja nk utaona unavyopata taaabu kuuza, nijiuliza wote tumekwama au mbinu zetu zimeisha pitwa na wakati , mbona hata vijana zaidi ya kupendeza huoni Cha maana wanachomiliki hii inatoa tafsri gani, mwaka wa uchaguzi pesa zilikuwa zinazagaa mtaani what happen mwaka huu