Pesa..... Pesa.... Pesa.....

Pesa..... Pesa.... Pesa.....

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,775
Reaction score
9,202
MCHUNGAJI alikuwa anaombea waumini
akauliza; "Wangapi wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee." hakuna aliyeinua mkono.
Tajiri mmoja akapita mbele na kutangaza..
"Jamani mchungaji anasema wanaotaka
kuokoka wanyanyue mikono juu. " Mtoto mmoja
akanyanyua mkono, tajiri akatoa laki tatu
akampa yule mtoto. Tajiri: "Haya jamani
ninaomba nirudie tena niwaombe wanaotaka
kuokoka wanyooshe mikono juu ili Mchungaji
atuombee." watu wote wakanyanyua mikono
juu, tajiri akamgeukia Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae kanyosha mkono juu.
Pesa Pesa Pesa........hata Yuda zilimkengeusha
akamnadi Jesus!!Ijumaa Njema wapendwa
 
MCHUNGAJI alikuwa anaombea waumini
akauliza; "Wangapi wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee." hakuna aliyeinua mkono.
Tajiri mmoja akapita mbele na kutangaza..
"Jamani mchungaji anasema wanaotaka
kuokoka wanyanyue mikono juu. " Mtoto mmoja
akanyanyua mkono, tajiri akatoa laki tatu
akampa yule mtoto. Tajiri: "Haya jamani
ninaomba nirudie tena niwaombe wanaotaka
kuokoka wanyooshe mikono juu ili Mchungaji
atuombee." watu wote wakanyanyua mikono
juu, tajiri akamgeukia Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae kanyosha mkono juu.
Pesa Pesa Pesa........hata Yuda zilimkengeusha
akamnadi Jesus!!Ijumaa Njema wapendwa

mzee wa upako na magari. Toa msimbazi, upate scania! Wakati huo huo anakusanya elfu wa waumini maskini- asante braza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom