Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,775
- 9,202
MCHUNGAJI alikuwa anaombea waumini
akauliza; "Wangapi wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee." hakuna aliyeinua mkono.
Tajiri mmoja akapita mbele na kutangaza..
"Jamani mchungaji anasema wanaotaka
kuokoka wanyanyue mikono juu. " Mtoto mmoja
akanyanyua mkono, tajiri akatoa laki tatu
akampa yule mtoto. Tajiri: "Haya jamani
ninaomba nirudie tena niwaombe wanaotaka
kuokoka wanyooshe mikono juu ili Mchungaji
atuombee." watu wote wakanyanyua mikono
juu, tajiri akamgeukia Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae kanyosha mkono juu.
Pesa Pesa Pesa........hata Yuda zilimkengeusha
akamnadi Jesus!!Ijumaa Njema wapendwa
akauliza; "Wangapi wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee." hakuna aliyeinua mkono.
Tajiri mmoja akapita mbele na kutangaza..
"Jamani mchungaji anasema wanaotaka
kuokoka wanyanyue mikono juu. " Mtoto mmoja
akanyanyua mkono, tajiri akatoa laki tatu
akampa yule mtoto. Tajiri: "Haya jamani
ninaomba nirudie tena niwaombe wanaotaka
kuokoka wanyooshe mikono juu ili Mchungaji
atuombee." watu wote wakanyanyua mikono
juu, tajiri akamgeukia Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae kanyosha mkono juu.
Pesa Pesa Pesa........hata Yuda zilimkengeusha
akamnadi Jesus!!Ijumaa Njema wapendwa