Katavi kweli hili la fake, mimi kama Tomaso!.
Mkuu Turudi mara ngapi wakati uchumi anaendesha RAHii nchi turudi utumwani mazungu yatutawale kama zamani manake tumeshindwa kabisa kujitawala!
Mimi niseme sijui ni mshamba ama macho yangu yameona vibayaa.Jamani pesa mpya sijui wanajamii forum mnazionajee?pesa ni nyepesi sidhani kama zitamudu life la bongo,ndo maana nikasema mi sijui ni mshamba ama sijaona vizuri naomba maoni yenu
Hii nchi turudi utumwani mazungu yatutawale kama zamani manake tumeshindwa kabisa kujitawala!