wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Jamani kama mjuavyo hii ni JF Business Club sasa kila kukicha tunaangalia namna ya kuongeza kipato
sasa hebu tuambiane hivi mtu anaweza vipi kuingiza pesa kupitia hii windfall ya uzinduzi wa gesi na mafuta Tanzania?
Procurement tusijidanganye hawa jamaa wanakuja na networks zao za kutisha za kununua vifaa vyao etc
sasa mliopo ndani ya Industry naomba mtupatie mwangaza on how local entrepreneurs can make money
sasa hebu tuambiane hivi mtu anaweza vipi kuingiza pesa kupitia hii windfall ya uzinduzi wa gesi na mafuta Tanzania?
Procurement tusijidanganye hawa jamaa wanakuja na networks zao za kutisha za kununua vifaa vyao etc
sasa mliopo ndani ya Industry naomba mtupatie mwangaza on how local entrepreneurs can make money