pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,087
Wanazengo pesa imeyeyuka? Najiuliza funga hii mbona imekua ya kimya sana zile shamra shamra za wasanii, na makampuni mbalimbali nchini za kufuturisha na kutoa vyakula sehemu mbali mbali, za vituo vya yatima na wagonjwa na wasiojiweza mbona mfungo huu wa kwaresma umekua kimya sana wako wapi mabigwa wa kufuturisha hakika mifuko imechanika 
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

