Analogia Malenga
Platinum Member
- Feb 24, 2012
- 5,292
- 10,842
Dafu lipo stable siku hizi.US$ 1 = 2,250 ~ 2,310 nadhani maduka ya kuuza na kununulia fedha yangeendelea na kale ka mchezo tungekuwa tunawaza
US$ 1 =3,000 ~ 3500
heeeeh hebu tuelezee,walikua wanafanya hujuma gani? binafsi sielewiUS$ 1 = 2,250 ~ 2,310 nadhani maduka ya kuuza na kununulia fedha yangeendelea na kale ka mchezo tungekuwa tunawaza
US$ 1 =3,000 ~ 3500
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Kwacha imekuwaje na thamani kubwa cku izi? Wanatumia mechanism gn?Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Kwani hizo nchi hakuna bureau de change?US$ 1 = 2,250 ~ 2,310 nadhani maduka ya kuuza na kununulia fedha yangeendelea na kale ka mchezo tungekuwa tunawaza
US$ 1 =3,000 ~ 3500
Under PPPTutapishana namba tu ila thamani ni ile ile sote
Kwacha imekuwaje na thamani kubwa cku izi? Wanatumia mechanism gn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada analeta michezoKama KENYA haimo ni maajabu ya SENENE?
Bureau de change wana affects exchange rates ??US$ 1 = 2,250 ~ 2,310 nadhani maduka ya kuuza na kununulia fedha yangeendelea na kale ka mchezo tungekuwa tunawaza
US$ 1 =3,000 ~ 3500