Alitumwa na professional calling deep down in him!Alijipenyezaje mpaka kuwa mbele ndio ninachotaka kujua na alikua na alikuwa ametumwa na nani kwa malipo kiasi gani maana ni wazi hakua anatumika bure
mpaka sasa naamini dk ulimboka alikua niu mchochezi tu wa kawaida kama wachochezi wengine,haiyumkiniki ajiingize kichwa kichwa kwenye jambo lisilomhusu wala kuwa na maslahi nalo,wale wenzake walikua na mgogoro na muajiri wao ambae wana mkataba nae,yeye alikurupuka na kujitumbukiza katikati kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe
Tuache kudanganyana ajenda yao mama ni mshahara na malupulupu hivyo vitendea kazi ni kisingizio tu,na kisingizio chenyewe hakiapply kwa walioajiriwa kwenye private sector kama bwana Ulimboka,ninachojiuliza ni kwamba je ulimboka alijipa angalau muda wa kupitia mikataba ya aliyokuwa "amejitolea" kuwasemea na mwajiri wao?au alijitumbukiza tu matokeo yake yakampata yaliyompata akiwa kwenye mambo ya ulevi
Yah alikua leaderz club akipata kinywajiHivi kumbe alikuwa kwenye "mambo ya ulevi"?
Madaktari gani hawatii hata kauli ya mahakama? Ulimboka na wenzake ni genge la wahuni ambalo inabidi wananchi tulikemee vikali.
Tatizo mmezoea kupigiana makofi hampendi kuwa challenged mnataka watu wote wafikiri na kuamini kama nyie ndio mana mnapata tabu,jaribuni kupima mambo na kupokea challenge,msikaririshwe,mtakua great thinker wa kweli siku mojaSomeni thread za huyu mtu,rangi yake inajionyesha.jambo moja tu ambalo sikulijua na nimelijua sasa,huyu bwana Romantic ni mpumbavu na bingwa wa ku divert mijadala humu kwa ID tofauti.mpumbavu hupuuzwa muachieni li thread lake!
Kuna taarifa kwamba Dr.Ulimboka sio mtumishi wa serikali,je hili ni kweli?kama jibu ni ndio amewezaje kujipenyeza mpaka kuwa mtu mashuhuri zaidi kwenye mgogoro wa nyongeza za malupulupu ya watumishi wa serikali-madaktari waajiriwa wa serikali?alitumwa na nani na hao waliomtuma wamekuwa wakilimpa kiasi gani labda kwa mwezi.
MA DK. WAMEMWAMINI WW KINAKUWASHA KININI?
Unajua ni ngumu sana kuzuia hisia ama speculations yanapotokea mambo kama haya hususan kwa watu maarufu kama dr ulimboka mzee,kuna watu mpaka leo wahisi na wanaamini mbowe ndio alipanga njama za mauaji ya marehemu Chacha wangwe na watu hao hata uwaeleze nini tofauti na hisia zao hawawezi kuamini lakini hiyo haihalalishi moja kwa moja kwamba freeman mbowe kweli anahusika in one way or another na kifo kile,kwa hiyo hisia za wananchi haziepukiki lakini kama great thinker tunatakiwa kuishi na facts kuliko hisia za wananchi ambazo hazizuilikiMkuu, nchi hii ina sheria. Kwanini sheria hazikutumika kumdhibiti Dr. Ulimboka badala ya kumuumiza vile tena kwa nia ya kuona amekufa? Wananchi wana kiu na kuiona Tanzania inakuwa njema. Ila two wrongs can't make a right...tatizo ndo limekuwa complicated zaidi sasa! Ukifikiria kwa makini, unaona kabisa ukosefu wa busara katika kushughulikia mambo yetu. Nguvu ina kiasi....na zile siasa za kusambaza woga hazina tija tena kwenye hii dunia ya leo. Tujifunze kufuata sheria ili tuheshimiwe. Ilivyo sasa, wewe unaona wananchi wana hisia gani na hayo aliyotendewa Ulimboka?
Mkuu uzuri wa JF ni pamoja na kurekebisha kama ulivyofanya....nashukuru kwa hilo....hiyo heshima ya JF unayoiona sasa hivi ujue umeikuta na kuna watu wameifikisha hapo ulipoikuta...........however, lugha uliyotumia inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mpumbavu!...........the bottomline ni kuwa kiongozi wenu Mkopi amekana kutohusika period!........sasa kama wewe unakuja na maneno ya kipuuzi.......eti MAT hakihusiki moja kwa moja na madai yenu........ndipo unapojidhihirisha zaidi kuwa wewe ni Mpumbavu..........
Alijipenyezaje mpaka kuwa mbele ndio ninachotaka kujua na alikua na alikuwa ametumwa na nani kwa malipo kiasi gani maana ni wazi hakua anatumika bure
.......halafu Katibu wake Dr. Mkopi.....alikanusha kuwa hahusiki na mgomo..........hapo ndio ujue ni kitu gani hasa kinaendelea........
Kuna taarifa kwamba Dr.Ulimboka sio mtumishi wa serikali,je hili ni kweli?kama jibu ni ndio amewezaje kujipenyeza mpaka kuwa mtu mashuhuri zaidi kwenye mgogoro wa nyongeza za malupulupu ya watumishi wa serikali-madaktari waajiriwa wa serikali?alitumwa na nani na hao waliomtuma wamekuwa wakilimpa kiasi gani labda kwa mwezi.
MA DK. WAMEMWAMINI WW KINAKUWASHA KININI?
Hakuna kinachoniwasha bali natafuta facts
na huko kwa muajiri wake ambako huduma yake ilikua inahitajika kuokoa maisha ya watu alimuachia nani wakati anadedicate muda wake mwingi kujihusisha na mgomo usiomuhusu?alikua analipwa kiasi gani kwa kusucrifice maisha ya wagonjwa wake huko kwa muajiri wake wakati yeye akicheza ngoma asiyoifahamu?Alitumwa na professional calling deep down in him!
You dont have to be sick to treat the sick ! Please pray for his quick recovery
as Chinua Achebe said, and I quote "the chicken must be safe in the pen before its warned against wondering into the bush'
Hii inatofautiana na maelezo ya awali ya Dr Ulimboka. Umeiweka katika namna ambayo unataka tuamini kuwa yaliyompata, yamempata kwa sababu ya huko kuwa kwenye ulevi...mimi naona unajaribu ku-spin tu.Yah alikua leaderz club akipata kinywaji
dr steve ulimboka alipoteza ajira ya serikali kwa kuongoza madaktari katika mgimo wa 2005.
Alipoteza kazi 2005 na sasa kamwaga damu
Mkuu, nchi hii ina sheria. Kwanini sheria hazikutumika kumdhibiti Dr. Ulimboka badala ya kumuumiza vile tena kwa nia ya kuona amekufa? Wananchi wana kiu na kuiona Tanzania inakuwa njema.
Ila two wrongs can't make a right...tatizo ndo limekuwa complicated zaidi sasa! Ukifikiria kwa makini, unaona kabisa ukosefu wa busara katika kushughulikia mambo yetu.
Nguvu ina kiasi....na zile siasa za kusambaza woga hazina tija tena kwenye hii dunia ya leo.
Tujifunze kufuata sheria ili tuheshimiwe. Ilivyo sasa, wewe unaona wananchi wana hisia gani na hayo aliyotendewa Ulimboka?
Kama sio mwajiriwa wa serikali madaktari wakiongezewa huo mshahara yeye atafaidika nini??