Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Huyu kiere ere, chake ndo kimemponza, mgomo wa ma dr yy ulikua haumhusu kwa sbb yy siyo mwajiriwa wa serikali, angewaacha awo ma dr wayaaemee masilahi yao wennyewe kwani wawo hawana midomo,ili liwe fundisho kwa wengine wanaopenda kujihusisha na mambo yasiyowahusu.