Yoyote itayokuwa recommended zaidi nitainunua, bajeti yake ninayo.Ziko pesa ngapi..?
Hebu ungetaja bei zakeYoyote itayokuwa recommended zaidi nitainunua, bajeti yake ninayo.
Nafikiri ni kuanzia laki 3.Hebu ungetaja bei zake
Uzuri na ubaya wa Perfume unategemeana na mtu mwenyewe,mimi naweza kupenda harufu ya Perfume fulani ni nzuri ila mwingine akaona ni mbaya,perfume hutambulika harufu yake kwa sense of smell,
So,the choice is yours.
Okay thanks mkuuYves iko poa zaidi kuliko bleu
Creed naipenda sana tatizo langu ni budget kwa sasa siiwezi.Ila tumia Creed Aventus hutojutia.
Uwa naiona tu sijawai isikia smell yake.Black Opium ( kama wewe ni mwanaume)
Aiseee unanipa mzuka mkuuMi nimetumia yst ile ya chupa nyeusi ndo naimalizia kiukweli lazima ninunue tena in master piece aise haiboi na harufu nzur,blue wanaisifia Ila sijawah tumia ila yst ni nzur snaa