wewe nawe ni wale wale...tatizo ni mnunuaji sio mtengenezaji. kwa kuwa sumu zinauzwa utaenda kununua unywe? na je utamshtaki mtengeneza sumu?
Zitakuwa za bei rahisi hizo... kuna ile imechorwa mwanamke amejitanda ushungi, boksi lake ni la purple ni balaa...house gril wangu alikuwa anatatumia, nilishindwa kuvumilia, ikabidi nimnunulie body spray atumie ili aachane na ile perfume.
Mi napenda perfume inayokaa muda mrefu, ila sio inayonukia mpaka kero ila nahisi watu wengine sense zao za ku-smell hazifanyi kazi vizuri, maana ananukia mpaka ananuka!!
Inaitwa KULTHUM mkuu....
habari wana JF
kuna jambo huwa linanitatiza. unakuta mtu anajipulizia perfume kali kupitiliza, akiingia ofisini watu mnaanza kupiga chafya. akiingia kwenye daladala, basi ukishuka tayari una mafua, akipita coridoni lazima aache alama siku nzima.
hivi kweli huu ni ustaarabu? hivi kila mtu akipuliza perfume hivyo kutakalika kweli?
watu tujirekebishe.
what is good for u may not be good for everyone.
Good day.......