harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Ni kweli watu tunazitumia hizi ila ukiwa umejipulizia nyingi inakera pia sasa kama unatumia daladala ndo kabisa unawakera watu wengine ila ikiwa kidogo na yenye harufu ambayo si kali sana inakua nzuri tu. kila kitu kinatakiwa kiwe kwa wastani tu ndio maana hata ulafi hautakiwi hata unyaji na ulevi ni tofauti