Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,105
Yani hata konyagi, kv na washirika wake hamnaga hizi vitu.... I'm in love with pombe kali 💕💕Bia hakunaga mambo haya
Ova
Yani hata konyagi, kv na washirika wake hamnaga hizi vitu.... I'm in love with pombe kali 💕💕Bia hakunaga mambo haya
Ova
Ni kweli Kabisa, unaishtaki kampuni kwa usumbufu uliopata eitha tumbo kuuma nk.Kuna sheria ipo inakulinda, kama customers , unapokuta defective products, unaweza kwenda mahakamani ku claim, and company will be liable for the compasation.
Sema ndio hivyo, tu, mostly of us weren't takes seriously these kind of stuff
Inakuwa ni Kesi pale ambapo soda imefunguliwa na umeshainywa kabla ya hapo hamna hamna Kesi waweza rudishiwa pesa yakoSasa mkuu hapo hata uende mahakamani, huwezi kushinda hiyo kesi wakati chupa imeshafunguliwa!!! Kutakuwa na uhakika gani kuwa huo uchafu umetoka kiwandani? Kesi kama hizo miaka ya 2000,zilikuwa nyingi sana, lakini ilikuja kubainika kuwa ilikuwa ni hujuma za kibiashara tu!!!
Kuwa kesi, na kushinda hiyo kesi ni vitu viwili tofauti, tatizo ni kushinda hiyo kesi mahakamani, itakuwia ngumu, mifano ipo mingi tu hapa TZ, lakini hakuna hata mlalamikaji mmoja alishawahi kushinda, tatizo ni kuishawishi mahakama kuwa ni kosa hilo ni la kiwandani,Inakuwa ni Kesi pale ambapo soda imefunguliwa na umeshainywa kabla ya hapo hamna hamna Kesi waweza rudishiwa pesa yako
Ni kweli Kabisa, unaishtaki kampuni kwa usumbufu uliopata eitha tumbo kuuma nk.
Na unalipwa hela nyingi tu
Bora wewe tope, nishawahi kunywa mirinda nyeusi ile nakaribia kumaliza tu nachk chin naona mende amejifia zake aisee nusu nitapike.
Kuwa kesi, na kushinda hiyo kesi ni vitu viwili tofauti, tatizo ni kushinda hiyo kesi mahakamani, itakuwia ngumu, mifano ipo mingi tu hapa TZ, lakini hakuna hata mlalamikaji mmoja alishawahi kushinda, tatizo ni kuishawishi mahakama kuwa ni kosa hilo ni la kiwandani,
Sa unatusumbua nini, ebo!
Sidhani kama tope liko ndani maana pepsi wana mitambo maalum ya kusafisha chupa kuliko hata cocacola wee umeamua kuanzisha uzi tuu kushehereheshaNimenunua soda, nimekuta chupa ina matope yaliyo kauka.
Kweli mnajali afya za walaji?
Umenikumbusha mbege, hata kama wanaponda zile ndizi kwa miguu lakini product ya mwisho ni salama kabisa.Kuna siku nilikutana na utando mweupe mweupe ndani ya soda chini Yani sijawai kukaguaga soda lakini siku hiyoo nikaangalia.
Nikasema kummanyoko sitakaa ninywe soda Tena saivi nakunywa mabia mambege juice na maji.
Pepsi ndo mlinifanya niache kunywa soda.
Soda ya chupa usalama ni mchache sana.Bora wewe tope, nishawahi kunywa mirinda nyeusi ile nakaribia kumaliza tu nachk chin naona mende amejifia zake aisee nusu nitapike.
Mimi nilikuta wembe ndani ya chupa.Sidhani kama ni shida ya kampuni ya Pepsi mkuu, uwezekano mkubwa ni tatizo la Mangi alikuuzia soda eidha wakati anazihamisha kulikuwa na mvua au uhifadhi mbaya, ukikuta tope ndani wawashie moto.
Sidhani kama tope liko ndani maana pepsi wana mitambo maalum ya kusafisha chupa kuliko hata cocacola wee umeamua kuanzisha uzi tuu kusheherehesha
Sa unatusumbua nini, ebo!
Ndo nishacomment sasa, pasukaKwan ulitumwa u comment? Ungepita kushoto