Pepsi shida ipo wapi?

Entreprenuare

JF-Expert Member
Aug 24, 2019
1,616
1,714
Nimenunua soda, nimekuta chupa ina matope yaliyo kauka.

Kweli mnajali afya za walaji?

IMG_3082.jpg
 
Sidhani kama ni shida ya kampuni ya Pepsi mkuu, uwezekano mkubwa ni tatizo la Mangi alikuuzia soda eidha wakati anazihamisha kulikuwa na mvua au uhifadhi mbaya, ukikuta tope ndani wawashie moto..

Mangi kagoma, kasema sio yeye...
 
Yalinikuta 2016,nilinunua milinda nyeusi nikanywa funda 3 kuangalia chini kuna matope mlenda mlenda aisee nilijisikia vibaya siku nzima.
 
Ingekuwa ni kwa ndani sawa ,Ila kama ni kwa nje hapo hakuna lawama kwa Pepsii maana yawezekana muuzaji hakufadhi katika mazingira ya usafi .
 
Kwa kifupi haya mambo ya kunywa straight from the bottle yana changamoto.
Mzigo unakaa kwenye godown lina panya kama wote mavi na mikojo kama kawaida.
Kuwe na utaratibu wa kuziflash na maji kabla kumfikia mlaji
 
..changamoto sie waafrika twatumia hizo chupa kuekea mafuta ya kupikia/taaa/asali nk, sasa wakat wa usafishaji uchafu hauishi na hivyo uchafu unabaki wajazapo soda.

Jamaa alishawahi kuta kipande cha mkia wa Kenge/Mjusi baada ya kupiga fundo 3 za pepsi baridiiii 😂 😂
 
Yalinikuta 2016,nilinunua milinda nyeusi nikanywa funda 3 kuangalia chini kuna matope mlenda mlenda aisee nilijisikia vibaya siku nzima.

Kuna sheria ipo inakulinda, kama customers , unapokuta defective products, unaweza kwenda mahakamani ku claim, and company will be liable for the compasation.

Sema ndio hivyo, tu, mostly of us weren't takes seriously these kind of stuff
 
Kuna sheria ipo inakulinda, kama customers , unapokuta defective products, unaweza kwenda mahakamani ku claim, and company will be liable for the compasation.

Sema ndio hivyo, tu, mostly of us weren't takes seriously these kind of stuff
Tanzania hakuna haki ya mlaji.

Hata serikali inajua kabisa makampuni yanachofanya ndio maana kila wakijisikia wawaenda kupiga fine.
 
Kuna sheria ipo inakulinda, kama customers , unapokuta defective products, unaweza kwenda mahakamani ku claim, and company will be liable for the compasation.

Sema ndio hivyo, tu, mostly of us weren't takes seriously these kind of stuff
Sasa mkuu hapo hata uende mahakamani, huwezi kushinda hiyo kesi wakati chupa imeshafunguliwa!!! Kutakuwa na uhakika gani kuwa huo uchafu umetoka kiwandani? Kesi kama hizo miaka ya 2000,zilikuwa nyingi sana, lakini ilikuja kubainika kuwa ilikuwa ni hujuma za kibiashara tu!!!
 
Back
Top Bottom