Mkuu ngoja nijaribu, hiyo ni edited photograph ambayo ina picha 3 ndani yake. 1. ni hio ya ufukweni (ambayo ndio picha halisi) 2. ni hizo bendera na 3. ni huyo dada anaeongea kwenye mic. Kwaiho picha 2&3 zimeongezewa kwenye picha no 1. Cc Excel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.