**~~** penzi la suma **~~**

**~~** penzi la suma **~~**

Kwa wale wanaotaka kukipata Mwanza please PM kwani kinapatikana kutoka private hands... itabidi niwape namba za kuweza kukifuatilia
 
asante sana Mzeemwanakijiji hiim riwaya imejaa hekima na mafundisho kwa maana dunia tulio nayo siku hizi ni balaa pasipo kuelimishana wengine wanaishia kuweka kamba shingoni au kunywa dawa na kupelekea umauti.
 
Wakati kina dada wanaweza kuwa wamevutiwa na viatu kwenye picha ya cover kina kaka watakuwa wamevutiwa na nini? Na kwa nini?
 
Mzee Mwanakijiji what am I suppose to say? Let me praise you.
U ar Master Storyteller,
Charming&Poignant also ur stories are even better after 2nd reading! This story is a fast-paced, densely layered exploration of love. Bottom line: Great story!!
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwanakijiji what am I suppose to say? Let me praise you.
U ar Master Storyteller,
Charming&Poignant also ur stories are even better after 2nd reading! This story is a fast-paced, densely layered exploration of love. Bottom line: Great story!!

duh you'll make (if you are not) a great literary critic! thanks!
 
Back
Top Bottom