huoni kuwa dada yake amechangia?
nayajua yote hayo kuwa sina nidhamu;ni vyema unishari badala ya kulaumu ndugu
You are absolutely right; ni kosa ya dada yake/mkeo. After all wanaume nyie ni DHAIFU.
Wewe endelea tu kwani ni wa kwanza au utakuwa wa mwisho bwana. Huyo shemejio ana huruma sana kwakweli!
huoni kuwa dada yake amechangia?
huoni kuwa dada yake amechangia?
mimi ni kijana ambaye nimeoa mwaka jana;bahati mbaya mke wangu ni mkorofi ajabu tena hana nidhamu;
Duuh nyie mlikuwa mmeshatamaniana tu. mlianzaje mawazo ya kugegedana wakati ni mtu na shemeji yake?
Mkuu mimi nilikuwa nauliza hivi, nyie mlikutana kujadili tatizo la dada yake sasa ilikuwaje mkapenyeza mada ya kugegedana wakati haikuwepo? Au mlikuwa mmeshatamaniana siku nyingi ndo mkaona hapo hapo m-take chance? Na, je katika majadiliano yenu mlipata suluhisho lipi kama sio kuendelea kugegedana?
Mkuu mimi nilikuwa nauliza hivi, nyie mlikutana kujadili tatizo la dada yake sasa ilikuwaje mkapenyeza mada ya kugegedana wakati haikuwepo? Au mlikuwa mmeshatamaniana siku nyingi ndo mkaona hapo hapo m-take chance? Na, je katika majadiliano yenu mlipata suluhisho lipi kama sio kuendelea kugegedana?
You are absolutely right; ni kosa ya dada yake/mkeo. After all wanaume nyie ni DHAIFU.
Wewe endelea tu kwani ni wa kwanza au utakuwa wa mwisho bwana. Huyo shemejio ana huruma sana kwakweli!
katika maelezo yake cd ime scratch,maana nami ninejiuliza mzee jerrytz weka sawa maelezo yako
Guys this is very serious; ln fact last week nilishaanza mchakato wa ku divorce;nilipokwenda church baada ya majadiliano marefu nikaambiwa kanisa halina uwezo wa kutenganisha ndoa;hivyo ombi langu la divorce lipo kwa mkuu wa wilaya;issue ya talaka ndio iliyotuleta hapo kebbys ili tujadili
i dont knw how to put it right;however sikuwa kuwa na matamanio na shemeji yangu licha ya kuwa ni msichana mzuri;kilichotokea kwangu ni huruma ya shemeji kupooza maumivu ya ndoa tu;sina mpango wa kuendelea kuzini naye as i need to settle down