Penzi la Meet Us ni Biashara

Penzi la Meet Us ni Biashara

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
428
Unaambiwa couple inayotrend mtandaoni maarufu kama Meet Us, nje ya upendo ni chapa na ni brand inayowapa kipato. Ni biashara kama biashara nyingine Tsh Million 6 hadi 8 zinaingia kila mwezi kwa kuoitia brand yao. vipi wewe na huyo ulienae? Mnaingiza shingapi?

 
Mimi na Mama Gaude tunaingiza zaidi ya hiyo lakini hatupendi show off
 
Hongera zao, ila maisha ya kuwa kwenye spotlight kila siku yataka moyo🙆‍♂️
 
Unaambiwa couple inayotrend mtandaoni maarufu kama Meet Us, nje ya upendo ni chapa na ni brand inayowapa kipato. Ni biashara kama biashara nyingine Tsh Million 6 hadi 8 zinaingia kila mwezi kwa kuoitia brand yao. vipi wewe na huyo ulienae? Mnaingiza shingapi?

Tuanze na wewe kwanza. Huyo mlinaye mnaingiza kiasi gani?
 
Back
Top Bottom