Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Duuh Asante kwa ushaurii.. mtu unajitahidi kujishusha usionekane una ego ila mtu haoni thamani.. kusema ukweli sio kwamba nimesha fall in love hapana ni ile hali kuwa unataka tu upate mtu wa kutulia nae basi unasema utaachana na wangapi umshikilie mtu lakini yeye ni kama hakuoni wanaume mnaboa sana
Kama sura na tako unalo na ni mweupe njoo tuyajenge. Ntakutumia meseji kila saa bando sio shida kwangu.
 
Utampata atakaekupa attention mpk umuone kero nakwambia hata ukienda toi atataka video call,, ni jambo la muda tu kuwa na subira
Mwanamke wa kibongo akipata mtu wa hivyo nae anaanza nyodo za hatari. Mwanzo atafurahia sababu hajazoea ila ghafla atakinai na kuona usumbufu.

Unaiomba unaanza kupewa vipengele. Unapiga simu anashika anapojisikia yeye nyodo kibao. Unaanza kuitwa mlalamishi 😂

Ukija kustuka kumbe kuna muhuni tayari kashapindua meza. Anapigiwa simu yeye sio wewe tena wewe kazi yako inakuwa kuombwa hela tu😄. Huyo ndio mwanamke wa Kibongo alivyo.

Huko anapofanyiwa nyodo hawezi kuacha kirahisi. Atajifanya anasusa ila akivutiwa waya tu anapoozwa na kuliwa chaap. Kisha routine ya mikausho inaendelea.
 
Mwanamke wa kibongo akipata mtu wa hivyo nae anaanza nyodo za hatari. Mwanzo atafurahia sababu hajazoea ila ghafla atakinai na kuona usumbufu.

Unaiomba unaanza kupewa vipengele. Unapiga simu anashika anapojisikia yeye nyodo kibao. Unaanza kuitwa mlalamishi 😂

Ukija kustuka kumbe kuna muhuni tayari kashapindua meza. Anapigiwa simu yeye sio wewe tena wewe kazi yako inakuwa kuombwa hela tu😄. Huyo ndio mwanamke wa Kibongo alivyo.

Huko anapofanyiwa nyodo hawezi kuacha kirahisi. Atajifanya anasusa ila akivutiwa waya tu anapoozwa na kuliwa chaap. Kisha routine ya mikausho inaendelea.
Uko sahihi inatakiwa athamini utu wake kabla ya hisia za kimwili ndo ataweza kutoka huko anakofanyiwa nyodo,
 
unachofanya kwa huyo anayepiga missed call 8 hupokei unaona ni sawa.
ila we ukifanyiwa hivyo na msukuma unakuja kubandika tangazo jf. unasahau what goes Around comes Around
Tofauti ni kuwa mmoja nina uhusiano nae mwinginee sina kosa langu nini hapo
 
Mwanamke wa kibongo akipata mtu wa hivyo nae anaanza nyodo za hatari. Mwanzo atafurahia sababu hajazoea ila ghafla atakinai na kuona usumbufu.

Unaiomba unaanza kupewa vipengele. Unapiga simu anashika anapojisikia yeye nyodo kibao. Unaanza kuitwa mlalamishi 😂

Ukija kustuka kumbe kuna muhuni tayari kashapindua meza. Anapigiwa simu yeye sio wewe tena wewe kazi yako inakuwa kuombwa hela tu😄. Huyo ndio mwanamke wa Kibongo alivyo.

Huko anapofanyiwa nyodo hawezi kuacha kirahisi. Atajifanya anasusa ila akivutiwa waya tu anapoozwa na kuliwa chaap. Kisha routine ya mikausho inaendelea.
Mizani ibalansi yaani usiwe kero.. yaani shobo nusu mikausho nusu hapo utatoboa kwa mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom