Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Penzi jipya mawasiliano ya zamani

It ain't that easy and formulaic - labda kama keshatendwa sana mpaka kupata usugu wa hisia. Ndo maana kuna msemo kwamba "Love is a hell of a drug"

Afuate hisia zake ali mradi tu aende na ubongo wake katika huo mfuatano. Na kama anajielewa hakuna kitakachoharibika.
Hujawahi kushobokea mtu halafu akakuignore wewe, hasa kwetu wanawake na uwe umependa na kujiona umempata wa kufanana nae, mhuuu
 
Hujawahi kushobokea mtu halafu akakuignore wewe, hasa kwetu wanawake na uwe umependa na kujiona umempata wa kufanana nae, mhuuu
It is painful, irrational and it can make you question everything including your self worthy and confidence. Ndo maana wengine hufikia mpaka hata kuwaza kujikatisha moto. Lakini ni mwanzo mwanzo huko. Ukishakuwa veteran na ka self awareness fulani hivi unaumia lakini unakuwa mwepesi wa kuachilia.

She will be OK.....
 
Na sasaiv wanasajiliwa kujaza mafuta mpk kitambulisho, mbona atabaki na msukuma mwenye kiburi cha dunia
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee 😂
 
Na sasaiv wanasajiliwa kujaza mafuta mpk kitambulisho, mbona atabaki na msukuma mwenye kiburi cha dunia
😂😂😂😂 et kiburi cha dunia
Ila kasukuma haka ukiwa nae karibu una enjoy mahaba KAMA yote wivu kama wote simu kama zote nenda mbali sasa
Unatafutwa usiku wa manane yaani ukiamka Asubuh unakuta ulitafutwa🤣
 
Hiyo tabia wadada wengi wanayo, kuna mdada mmoja nlichukua namba yake, nianze kujenga ukaribu nae ili hatimae nimtongoze, nlimtext Whatsapp kimya hajibu, meseji ya kawaida hajibu, nlimfata uso kwa uso kumwambia nlimtumia meseji akaniambia hafunguagi meseji, nikajiongeza nikaona huyu hataki ukaribu na mimi na hajavutiwa kimapenzi na mimi, nikamuacha

Hee fast-forward mwaka ukapita, aliolewa kwingine siku tunapiga story aliniambia alivoniona mara ya kwanza alijua mimi ndo mume wake mtarajiwa, hapo sasa mm kichwani nkajisemea wtf, kama aliona mimi namfaa kilichomfanya anikaushie ni nini 🫢😯hata kujibu hi through text ilimshinda Kapeace
Ila kufanya mtoto wa kiume hata haipendezi angalau mdada tutasema na maringo sasa mwanaume unakuaje na tabia za kike
 
Cha kukushauri hatna, ni uamuzi wako uende nae hivyo hivyo kama unaweza vumilia, unaona huwezi tua mzigo kuwa free utapata mwingine.

Jitahidi upate mimba labda ndio tutakushauri jina la mtoto 😂😂, ila mapenzi hatuwezi kukushauri(joke)
Unafikiri wanawake tunashindwa kuvumilia ni suala la sasampa kama zipo na zinatolewa tunavumilia huku unatafuta wa kukuchartisha
 
It ain't that easy and formulaic - labda kama keshatendwa sana mpaka kupata usugu wa hisia. Ndo maana kuna msemo kwamba "Love is a hell of a drug"

Afuate hisia zake ali mradi tu aende na ubongo wake katika huo mfuatano. Na kama anajielewa hakuna kitakachoharibika.
Mimi Sasa ndio sinaga hizo habari sijui hata nikikutana na mtu akanionesha love napenda tena nahisi ni mwepesi kusahau
 
It is painful, irrational and it can make you question everything including your self worthy and confidence. Ndo maana wengine hufikia mpaka hata kuwaza kujikatisha moto. Lakini ni mwanzo mwanzo huko. Ukishakuwa veteran na ka self awareness fulani hivi unaumia lakini unakuwa mwepesi wa kuachilia.

She will be OK.....
Kuachilia ni kwepesi endapo nae huyo akimpitisha alikompitisha yeye, mi nishafanya hiyo kitu niliburudika sana
 
Dah inasikitikasha sana vijana tafuteni kazi za kufanya za kuwaingizia pesa yuko busy ndo maana hana mda na ww unapata wap mda et unamuuliza ex wake wazamani et kwann mliachana tena men mwenzako kabisa dah inasikitisha sana
Baada ya kutafuta pesa zinatakiwa zitumike sio ziwekwe tu sasa kwenye matumizi hapo lazima apatikane wa kutumia nao
 
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee 😂
Kuna kiburi cha kiume na kuna kile cha huyu shem wetu,, hizo ni nyodo
 
Ila mwanaume ni lazima uwe na ka kiburi fulani bana vinginevyo utaendeshwa sana hasa kwa hawa watoto wa afumbili hawa. Na nyie wanawake mnaweza kuwa makatili ajabu. Alichonitendea Magreth wangu sitakuja kusahau aisee 😂
Kiburi uwe Nacho lakini angalia na nani unamfanyia kiburi mtu hana shida yoyote kanyooka hana makandokando kiburi cha nini
 
😂😂😂😂 et kiburi cha dunia
Ila kasukuma haka ukiwa nae karibu una enjoy mahaba KAMA yote wivu kama wote simu kama zote nenda mbali sasa
Unatafutwa usiku wa manane yaani ukiamka Asubuh unakuta ulitafutwa🤣
Yani huyo ni mwepesi maana ni wazi nae anakupenda ila kiburi kinamzidi

mi asbh tu ningemuonyesha nyodo ni nini!
 
Back
Top Bottom