Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Penzi jipya mawasiliano ya zamani

Unajua mim ni wale walioanza mapenzi ukubwani
Huyu nae ni hivyohivyo kaanza ukubwa kwaiyo hana exposure ya mahaba.. kwa maelezo yake ameanza kukitembeza two years ago kwaiyo hata cycle yake ya wanawake inaweza kuwa mimi ni wa 4 or 3 na kwa muda niliokaa nae nimeonaa sio mtu wa mambo mengi.. anaweza pigiwa Simu na kama kachoka atakwambia pokea uongee nae.. simu yake Hakuna password unaweza kagua hukuti kitu.. yaani bado hajaingiwa na dunia ki hivyo 😀
 
Mkuu hutii moyo unavunja kabisaa
Ni kweli mkuu, mimi kuna kipindi nilikua aina ya huyo mwanaume na si ajabu ni mimi huyo.

Yaani inakua hivi..
Jamaa inawezekana alikupenda mwanzoni, ila siku zinvyozidi kwenda anakuchukulia wa kawaida.
Na ambavyo na wewe hutaki kumsumbua (japo ndo uanamke wenyewe huo), basi ndo kabisaa anakupotezea.

Kuna nyuzi nyingi humu zinaelezea kua mwanaume huwa anahusudu/kuhudumia kile kilicho karibu yake zaidi kuliko kilicho mbali nae.
Kadri unavyojiweka mbali nae anazidi kukaa mbali na wewe.

Nakushauri uanze usumbufu, pamoja na yeye kutokua romantic we msumbue kwa texts hivyo hivyo.
 
Ni kweli mkuu, mimi kuna kipindi nilikua aina ya huyo mwanaume na si ajabu ni mimi huyo.

Yaani inakua hivi..
Jamaa inawezekana alikupenda mwanzoni, ila siku zinvyozidi kwenda anakuchukulia wa kawaida.
Na ambavyo na wewe hutaki kumsumbua (japo ndo uanamke wenyewe huo), basi ndo kabisaa anakupotezea.

Kuna nyuzi nyingi humu zinaelezea kua mwanaume huwa anahusudu/kuhudumia kile kilicho karibu yake zaidi kuliko kilicho mbali nae.
Kadri unavyojiweka mbali nae anazidi kukaa mbali na wewe.

Nakushauri uanze usumbufu, pamoja na yeye kutokua romantic we msumbue kwa texts hivyo hivyo.
Mkuu nashukuru kwa ushauri niufanyia kazi sasa

Sema tunaenda vizuri naona 😆
 
Back
Top Bottom