Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Addiction ni kila mahali, mm siwezi kulala bila kuona hata nembo ya CCM, yaani CCM imejaa rohoni na moyoni, nikisikia mtu anaisema vibaya CCM moyo unaniuma sana, sbb nimezaliwa nayo na nimekulia nayo. Ndio maisha yangu, bila CCM Imara nchi yetu ingeyumba sanaa huenda leo tungekuwa kama nchi za waafrika wenzetu, vita kila kona, CCM daima na milele, Mungu nisaidie, Amen.
Unatuhamisha kwenye mada
Subiri mada ya vyama vya ndiyo uje uweke vitu km hivi.
 
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.

Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.
Mbadala mbona upo mkuu...kunywa zero..ni kwel zina zero sugar...
 
Yaani mtu anaanzaje kupenda soda hadi anakua Addicted??? Ni sawa uniambie eti una hamu ya bia. Bia inakupaje hamu jamani
Bia ina mahala ikigusa unakua safi kabisa.
Si lazima unywe nyingi hata moja au mbili tu inatosha.
Kwanza bia inaongeza damu hivyo ni nzuri kwa afya yako ukinywa kistraabu.
 
Inawezekana ila ni ngumu mie ilikuwa ninakunywa wastani wa soda 6 kwa siku,
Asubuhi kabisa moja , baada ya chai asu supu moja , katikati ya mchana na asubuhi moja. Chakula cha mchana lazima kiambatane na coke baridi , Jioni moja na wakati wa chakula cha usiku lazima ipatikane coke baridi pia
Ilitokea siku moja , nikawa nakunywa soda ila sipati ladha yoyote nikaamua kuacha
miaka 2 sasa ila cha ajabu ile hamu ya coke baridi hasaa baada ya supu ya asubuhi imerudi tena at rime nakunywa moja moja japo siruhusu initawale tena.
Acha kabisa ndugu jenga mazoea ya kunywa maji badala ya sida au kabia kamoja wakati wa mlo wa usiku.
 
Niliacha na hii kitu karibia miaka 16 iliyopita.

Hatari zaidi ni hivi vinywaji vya siku hizi hivi. Hizi energy energy ndio hatari zaidi. Nasikia wanatupiamo ya kulevya,ili uwe addicted navyo. Ndio maana unakuta vijana hawa wa bodaboda kila baada masaa kadhaa anacho. Wenyewe wanakuambia vinaongeza nguvu. Hatari sana
 
Acha kabisa ndugu jenga mazoea ya kunywa maji badala ya sida au kabia kamoja wakati wa mlo wa usiku.
Bia sijawahi weka mdomoni , hata soda zenyewe saa hizi nimepunguza sana , maji toka ujana unaingia nakunywa mengi sana min 4 litres kwa siku .
 
Niliacha na hii kitu karibia miaka 16 iliyopita.

Hatari zaidi ni hivi vinywaji vya siku hizi hivi. Hizi energy energy ndio hatari zaidi. Nasikia wanatupiamo ya kulevya,ili uwe addicted navyo. Ndio maana unakuta vijana hawa wa bodaboda kila baada masaa kadhaa anacho. Wenyewe wanakuambia vinaongeza nguvu. Hatari sana
Hawatupii kwa siri..

Wameandika kabisa pale kuwa kuna Caffeine ndani.

Caffeine ina CNS effect..kwahiyo addiction ni lazima...The same applies kwa kahawa nayo ina caffeine.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ila ni ngumu mie ilikuwa ninakunywa wastani wa soda 6 kwa siku,
Asubuhi kabisa moja , baada ya chai asu supu moja , katikati ya mchana na asubuhi moja. Chakula cha mchana lazima kiambatane na coke baridi , Jioni moja na wakati wa chakula cha usiku lazima ipatikane coke baridi pia
Ilitokea siku moja , nikawa nakunywa soda ila sipati ladha yoyote nikaamua kuacha
miaka 2 sasa ila cha ajabu ile hamu ya coke baridi hasaa baada ya supu ya asubuhi imerudi tena at rime nakunywa moja moja japo siruhusu initawale tena.
Aisee Kuna watu wanakunywa soda...khaa!!
 
Addiction ni kila mahali, mm siwezi kulala bila kuona hata nembo ya CCM, yaani CCM imejaa rohoni na moyoni, nikisikia mtu anaisema vibaya CCM moyo unaniuma sana, sbb nimezaliwa nayo na nimekulia nayo. Ndio maisha yangu, bila CCM Imara nchi yetu ingeyumba sanaa huenda leo tungekuwa kama nchi za waafrika wenzetu, vita kila kona, CCM daima na milele, Mungu nisaidie, Amen.
Una mapepo kakanyage mafuta
 
Back
Top Bottom