Pentagon is ready to destroy Iran atomic bomb

Vita ni vita hakuna anaeenda vitani akiwa na uhakika 100% kushinda, hata Vietnam au Afghanistan naona kote walilizwa ,may be kwa sababu si watoto wa viongozi wanaokwenda vitani. Hizo ndege zinaweza kuangushwa kama makaratasi dunia ikabaki inashangaa. Merakani ni powerfull lakini ina weaknesses nyingi ,tusubili vita ianze ndio tutajua ukuu wao uko wapi
 
Hakuna Vita hapo kwa sasa!

Kinachofanyika ni game ya Kisiasa kwa pande zote mbili

Tayari Iran imefanikiwa kushawishi Utawala wa Iraq kuikataa Marekani kwa kupitisha Azimio rasmi

Marekan imefanikiwa kushawishi NATO na Umoja wa Ulaya kuwa upande wake

Iran nayo imejitoa kwenye makubaliano ya ki nyuclear for Pilitical reasons pia

Sasa hivi America imefanikiwa kwa upande wa kuithibitishia Dunia kuwa Iran ipo Iraq Vitani kwa kuwa Kamanda wake kauawa Iraq sio Iran

Iran imefanikiwa kurejesha Ki Propaganda sana

America imefanikiwa kijeshi


Ki Vita Iran hana ubavu wa kuipiga America ila ana ubavu wa kuitingisha ki Uchumi kitu ambacho America haipo tayari kwa sasa
Hii ni atomic ( mother of all nuclear ) linaharibu nchi in one second .hakuna nchi yenye only USA
 

Attachments

  • 4D0C7C75-567B-457E-835E-77DF18AEA6FC.jpeg
    4D0C7C75-567B-457E-835E-77DF18AEA6FC.jpeg
    9.7 KB · Views: 1
Ndevu ni moja ya alama za mwanaume,wewe endelea kung'arisha uso kwa kila aina ya cream,
Hizo picha ndio zimekuaminisha kua vita inapiganwa hivyo? ile drone latest isiyoonekana ilitunguliwa hivi karibuni tu ulisikia hilo? Unadhani kuingia anga la Iran ni rahisi sio Eeeh!
Wanawake kibao tu wanamidevu vingunguti unataka kusemaje?
 
Licha ya nguvu nyingi wanaweza kuangamizwa vilevile. Kumbuka sio siku zote mwenye nguvu ndio ashindae. Kila mtu aliamini Daudi anaenda kuuawa na goliati lkn kilichomkuta goliati ni historia. By the way uzi wako ni porojo tu, hauna cha maana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wape Moyo Wajichanganye Wachakazwe
 
Hii ni atomic ( mother of all nuclear ) linaharibu nchi in one second .hakuna nchi yenye only USA

Vita sio lelemama wewee!

Leo hii bado wanapambana kurudisha gharama za kumtoa Saddam kwa kuwa Hata Vibaraka wao wamewageuka ndani ya Iraq wanashirikiana na IS na Iran kuhakikisha kila tone la Mafuta linalifyonzwa Iraq basi waache damu ya Wanajeshi wao

Vita halisi ni tofauti sana na yale maigizo ya kina Rambo na vandamme
 
Vita sio lelemama wewee!

Leo hii bado wanapambana kurudisha gharama za kumtoa Saddam kwa kuwa Hata Vibaraka wao wamewageuka ndani ya Iraq wanashirikiana na IS na Iran kuhakikisha kila tone la Mafuta linalifyonzwa Iraq basi waache damu ya Wanajeshi wao

Vita halisi ni tofauti sana na yale maigizo ya kina Rambo na vandamme
Hivi mmesahau Sadam .mpaka Dakika ya mwisho alifikiri Usa wanatania .Alivyoamka usiku nchi imeengiliwa
 
Vita sio lelemama wewee!

Leo hii bado wanapambana kurudisha gharama za kumtoa Saddam kwa kuwa Hata Vibaraka wao wamewageuka ndani ya Iraq wanashirikiana na IS na Iran kuhakikisha kila tone la Mafuta linalifyonzwa Iraq basi waache damu ya Wanajeshi wao

Vita halisi ni tofauti sana na yale maigizo ya kina Rambo na vandamme
Ila Schwarzenegger ni vita kweli. uongo?
 
Vita ni vita hakuna anaeenda vitani akiwa na uhakika 100% kushinda, hata Vietnam au Afghanistan naona kote walilizwa ,may be kwa sababu si watoto wa viongozi wanaokwenda vitani. Hizo ndege zinaweza kuangushwa kama makaratasi dunia ikabaki inashangaa. Merakani ni powerfull lakini ina weaknesses nyingi ,tusubili vita ianze ndio tutajua ukuu wao uko wapi
 

Attachments

  • 2A39D017-E9D2-4F19-916E-C7E69BB182F5.jpeg
    2A39D017-E9D2-4F19-916E-C7E69BB182F5.jpeg
    9.7 KB · Views: 1
  • FB18183F-29AA-4B5D-94E3-985CCCE5B716.gif
    FB18183F-29AA-4B5D-94E3-985CCCE5B716.gif
    24.7 KB · Views: 1
  • F9ED5E32-05C0-460E-AE1F-BFBD9B7BAF5C.png
    F9ED5E32-05C0-460E-AE1F-BFBD9B7BAF5C.png
    232.6 KB · Views: 1
  • 50AFF710-6D2D-42D9-B034-954AE1AA4E67.jpeg
    50AFF710-6D2D-42D9-B034-954AE1AA4E67.jpeg
    16.5 KB · Views: 1
daaaaah kwakwel watu wana idharau iran kinoma lolote linaweza kutokea! ata ikitokea marekani ikampiga iran naiman ata iran lazima imtikise kidgo
Licha ya nguvu nyingi wanaweza kuangamizwa vilevile. Kumbuka sio siku zote mwenye nguvu ndio ashindae. Kila mtu aliamini Daudi anaenda kuuawa na goliati lkn kilichomkuta goliati ni historia. By the way uzi wako ni porojo tu, hauna cha maana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D9F4FB74-813B-41AD-9B62-76EFAC355C5F.jpeg
Iran atapigwa kipigo ambacho hakitakuja kusahaulika ,watapigwa haraka sana na kwa nguvu nyingi kwa sababu Marekani anaamini anapigana na gaidi linalohitaji kuangamizwa kabla halijaleta madhara
 

Attachments

  • 3A0AD65F-4C6D-4E43-B345-F138C7E3EFD5.gif
    3A0AD65F-4C6D-4E43-B345-F138C7E3EFD5.gif
    24.7 KB · Views: 1
  • D7FFB7E2-FBD7-4146-AAA6-B91C8BA6EC19.png
    D7FFB7E2-FBD7-4146-AAA6-B91C8BA6EC19.png
    232.6 KB · Views: 1

Similar Discussions

Back
Top Bottom