Sethshalom
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 581
- 1,000
Vita ni vita hakuna anaeenda vitani akiwa na uhakika 100% kushinda, hata Vietnam au Afghanistan naona kote walilizwa ,may be kwa sababu si watoto wa viongozi wanaokwenda vitani. Hizo ndege zinaweza kuangushwa kama makaratasi dunia ikabaki inashangaa. Merakani ni powerfull lakini ina weaknesses nyingi ,tusubili vita ianze ndio tutajua ukuu wao uko wapi