Pentagon is ready to destroy Iran atomic bomb

Natalia, Tsar alikuwa Mtawala wa Urusi kabla ya mwaka 1917. Hivyo lazima ujuwe kuwa hiyo ni silaha yq Mrusi. Ni sawa na usikie Meli ya kivita inaitwa USS Theodore Roosevelt (CVN-71) ukasema ni ya Urusi.

Mabomu ya Maji yaani Hydogen Bomb ndiyo habari ya mjini kwa sasa. Achana na Nuke Bombs zimeshapitwa na wakati.

Soma hapo chini kuhusu Tsar na ndiyo utaelewa kwanini Putin wakati mwingine wanamuita Tsar.

The Soviet RDS-202 hydrogen bomb, known by Western nations as Tsar Bomba, was the most powerful nuclear weapon ever created

 
Watapigania Irani mkuu.

Hili kila mtu anajua.
Hii ni endapo Marekani ndiye atayeanzisha mapambano...

Lakini kwa hali ilivyo inaonesha Iran ndio wanaochimba biti kitu kinachoifanya kuweza kuwa vita ya piga nikupige...vita za kulenga vitu fulani mathalaninkambi za jeshi, mali kubwa kubwa za ama US au Iran...

Hivyo kupata karibu kila taifa ambalo lina mali za hawa mafahari wawili kujikuta ni uwanja wa vita...(think of WWII vile ilikuwa)
 
Hakuna Vita hapo kwa sasa!

Kinachofanyika ni game ya Kisiasa kwa pande zote mbili

Tayari Iran imefanikiwa kushawishi Utawala wa Iraq kuikataa Marekani kwa kupitisha Azimio rasmi

Marekan imefanikiwa kushawishi NATO na Umoja wa Ulaya kuwa upande wake

Iran nayo imejitoa kwenye makubaliano ya ki nyuclear for Pilitical reasons pia

Sasa hivi America imefanikiwa kwa upande wa kuithibitishia Dunia kuwa Iran ipo Iraq Vitani kwa kuwa Kamanda wake kauawa Iraq sio Iran

Iran imefanikiwa kurejesha Ki Propaganda sana

America imefanikiwa kijeshi


Ki Vita Iran hana ubavu wa kuipiga America ila ana ubavu wa kuitingisha ki Uchumi kitu ambacho America haipo tayari kwa sasa
Wachangiaji kama wewe ni wachache sana jukwaa ili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tuone kunguru this time atafanyeje baada ya kutumwa na mabwana zake kwenda kuishambulia iran.
Screenshot_2020-01-07-16-55-43-833_org.mozilla.firefox.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
America ni Taifa kubwa Duniani na likikuwekea vikwazo lazima utayumba

Iran ina vikwazo vya Magharibi kwa Miaka 40 lakin jee unaweza kuwalinganisha na Zimbabwe waliowekewa juzi juzi?

Pamoja na Vikwazo vyote hivyo bado anazidi ku emerge kama Super power wa Middle East mbele ya Saudia na Israel

Kule ni mwendo wa kuzalisha Engineers tu kila mwaka
Sawasawa...
 
America ni Taifa kubwa Duniani na likikuwekea vikwazo lazima utayumba

Iran ina vikwazo vya Magharibi kwa Miaka 40 lakin jee unaweza kuwalinganisha na Zimbabwe waliowekewa juzi juzi?

Pamoja na Vikwazo vyote hivyo bado anazidi ku emerge kama Super power wa Middle East mbele ya Saudia na Israel

Kule ni mwendo wa kuzalisha Engineers tu kila mwaka
Wale watu ni hatari Sana, just imagine kuanzia kipindi cha ottoman empire mpaka kipindi cha muingereza, hakuna mtu hata wala taifa hata moja lililowahi itawala Iran.

Hiyo inamaanisha ni taifa linalojitambua na ndio maana wapo vizuri kwenye kila nyanja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale watu ni hatari Sana, just imagine kuanzia kipindi cha ottoman empire mpaka kipindi cha muingereza, hakuna mtu hata wala taifa hata moja lililowahi itawala Iran.

Hiyo inamaanisha ni taifa linalojitambua na ndio maana wapo vizuri kwenye kila nyanja.



Sent using Jamii Forums mobile app
Iran/Iraq ni chimbuko la mwanadamu na historia kubwa ya wanadamu imelala maeneo hayo...

Hivyo ukitaka kupata mahali penye ustaarabu wa kale na muendelezo wa tawala zake, basi uajemi ni mahali sahihi...
 
Hivi mmesahau Sadam .mpaka Dakika ya mwisho alifikiri Usa wanatania .Alivyoamka usiku nchi imeengiliwa

Iraq ilikuwa utawala wa Mtu mmoja

Iran ni Taasisi, wamepita kina Hashim Rafsanjan, Ahmed Najad, Khatami n.k lakin foreign policy yao imebaki vile vile

US wakienda Iran wanaenda kuangusha tawala ya Tehran then what next?

Wazungu wana akili hawakurupuki kama Sisi
Wale watu ni hatari Sana, just imagine kuanzia kipindi cha ottoman empire mpaka kipindi cha muingereza, hakuna mtu hata wala taifa hata moja lililowahi itawala Iran.

Hiyo inamaanisha ni taifa linalojitambua na ndio maana wapo vizuri kwenye kila nyanja.



Sent using Jamii Forums mobile app

Tayari Democratic wametangaza hawapo tayari kwa Vita na Iran

Wanaanda Resolution Bungeni kumpiga stop Trump

Trump anataka kutumia vita na Iran kujipa umaarufu kuelekea UchaguZi
 
Mkuu hivi kumbe mpaka muda huu unafikiri uamuzi ya kuivamia Iran ni maamuzi binafsi ya trump!??
Iraq ilikuwa utawala wa Mtu mmoja

Iran ni Taasisi, wamepita kina Hashim Rafsanjan, Ahmed Najad, Khatami n.k lakin foreign policy yao imebaki vile vile

US wakienda Iran wanaenda kuangusha tawala ya Tehran then what next?

Wazungu wana akili hawakurupuki kama Sisi


Tayari Democratic wametangaza hawapo tayari kwa Vita na Iran

Wanaanda Resolution Bungeni kumpiga stop Trump

Trump anataka kutumia vita na Iran kujipa umaarufu kuelekea UchaguZi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom