Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Salaam wana Jf
kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi na kutokuwa na gazeti mbadala ni pengo kubwa imefahamika.
Tanzania tunayo magazeti mengi ya siasa lakini mengi ya hayo magazeti yana nidham ya uoga.katika tukio la mauaji ya mwandishi RIP Daud mwangosi,pamoja na ushahidi wa picha uliopo magazeti yetu yaliyobaki hakuna hata moja lenye uthubutu wa kufanya uchunguzi na kuanika majina ya wale askari waliokuwa wakimpiga mwangosi.
Kuna habari zimeenea kwamba mwangosi alipigwa kwanza risasi akafa,akalipuliwa na bomu kuficha ushahidi wa risasi.magazeti yetu yameshindwa hata kuwahoji watu waliokuwa wanachungulia madirishani na kutupa habari za uhakika hapo ndipo naposema pengo la MWANAHALISI halizibiki.
Natoa wito kwa wanahabari,wanaharakati kufanya jambo fulani kuishinikiza serikali ilifungulie gazeti hilo kwani tunachopata sasa ni taarifa tu na sio habari za kiuchunguzi,vile vile na nyie wamiliki wa vyombo vya habari boresheni MAGAZETI yenu mtupe habari zinazokamilika,
mwisho WANAHARAKATI mlitoa siku saba kwa serikali kulifungulia MWANAHALISI je mmeishia wapi tupeni majibu mmetuacha njia panda,na wewe SAED KUBENEA mbona uko kimya sana au umeridhishwa na ukandamizaji huo?
Karibuni tujadili.
kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi na kutokuwa na gazeti mbadala ni pengo kubwa imefahamika.
Tanzania tunayo magazeti mengi ya siasa lakini mengi ya hayo magazeti yana nidham ya uoga.katika tukio la mauaji ya mwandishi RIP Daud mwangosi,pamoja na ushahidi wa picha uliopo magazeti yetu yaliyobaki hakuna hata moja lenye uthubutu wa kufanya uchunguzi na kuanika majina ya wale askari waliokuwa wakimpiga mwangosi.
Kuna habari zimeenea kwamba mwangosi alipigwa kwanza risasi akafa,akalipuliwa na bomu kuficha ushahidi wa risasi.magazeti yetu yameshindwa hata kuwahoji watu waliokuwa wanachungulia madirishani na kutupa habari za uhakika hapo ndipo naposema pengo la MWANAHALISI halizibiki.
Natoa wito kwa wanahabari,wanaharakati kufanya jambo fulani kuishinikiza serikali ilifungulie gazeti hilo kwani tunachopata sasa ni taarifa tu na sio habari za kiuchunguzi,vile vile na nyie wamiliki wa vyombo vya habari boresheni MAGAZETI yenu mtupe habari zinazokamilika,
mwisho WANAHARAKATI mlitoa siku saba kwa serikali kulifungulia MWANAHALISI je mmeishia wapi tupeni majibu mmetuacha njia panda,na wewe SAED KUBENEA mbona uko kimya sana au umeridhishwa na ukandamizaji huo?
Karibuni tujadili.