"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.

Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa, ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.

Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?

During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuzi ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake, hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kiasi kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamizi uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndani ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa, hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha, pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndani ya Taifa hili?

Nini kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete,kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech,kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili??

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao,uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini??
Nawe umekuwa mwongo. Kumbukumbu yàngu ni kuwa TEC daima wamekemea maovu katika Awamu zote. Pengo kama yeye alijitokeza kumkumbatia Makonda na Magufuli, not TEC. Refresh your mind!
 
Mnaibuka mmoja mmoja,yaani ninyi kupewa rasilimali muhimu za taifa mwarabu hamuoni ubaya kwa sababu wamewarithisha dini hamuangalii athari zake.

Anachokifanya huyu mama wa kipemba ni kitu cha hatari sana,tupo 21 century lakini yeye analiingiza taifa kwenye mikataba ya karne ya 14 ambayo mpaka leo wale walioiingia wanajuta kwa athari zake.
 
Mawakala wa shetani nilijua lazima muamke baada ya kuona neno TEC limeanza kutawala. TEC ndio inawatoa mashimoni kama mapanya, uzi wa kukurupuka usio na ushahidi wowote.

Ni hivi, bandari za Tanganyika haziwezi kutolewa milele kwa mwarabu kwa makubaliano haramu waliyofanya na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.

Mkataba usio na ukomo karne hii ni tusi kwa vizazi vyote vijavyo vya hili taifa la Tanganyika, yeyote mwenye nguvu ya kutetea hili, hakika ni shetani atayelaaniwa mpaka na wajukuu zake mwenyewe.
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete,kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech,kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili??

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao,uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini??
Pathetic unataka kumfichia Saa 100 kwenye dini...atapopolewa tuu mpaka atapojirekebisha
 
Ajenda ya udini Haina maana kweli km unavyosema,ila TEC na PENGO ni Taasis za dini, kwanin wanakuwa selective na double standards?
Mkuu hukumbuki kipindi Corona ikinyoosha watu Katibu wa TEC alikosoa hadharani mbinu za JPM...?

Mpaka JPM mwenyewe akasema viongozi wa dini hawana imani tena...?

2019 Hukumbuki waraka wa hizi taasisi kipindi cha pasaka kuhusu kuzorota kwa haki za binadamu na utawala bora?
Ila topic za udini sio afya sana... maana tumeletewa tuu
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete,kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech,kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili??

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao,uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini??
Sina Matatizo na DP World, lakini Pengo ni kama mTanzania yoyote mwenye hisia; haya mambo ni very very controversial haya yanayogusa sovereign (National Security):
Kuuza ardhi ya Nchi - Loliondo, mbuga (mwinyi) na sasa hivi kuwahamisha wamasai (Samia)
Lango Kuu kupewa Ufunguo Mgeni kwa masharti ya Ajabu Ajabu - (Samia) - unajua maana ya Bandari - National security ndiyo ipo hapo; nani atatoa Lango kuu ufunguo apewe mgeni kwa masharti nafuu? Halafu ni Malango yote!
 
Hukuwepo kipindi kile gwajima anamtukana pengo kwa kumsupport kikwete, au hukuwepo kipindi ngalekumtwa anahojiwa uraia na uhamiaji kwa kumkosoa Magufuli, au ule walaka wa TEC na wa KKT ulikuwa hujazaliwa

Gwajima hakumtukana PENGO Kwa kumkosoa kikwete,weka memory zako SAWA
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete,kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech,kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili??

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao,uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini??
Hilo jambo kila mtu ameshaliona halina mjadala hawa huwa wanajua haki kiongozi akiwa siyo mkatoliki ndio utaona kila aina ya matamko na waraka, waache mama afanye kazi waraka wao ni kiunazi na kiushabiki
 
Ajenda ya udini Haina maana kweli km unavyosema,ila TEC na PENGO ni Taasis za dini, kwanin wanakuwa selective na double standards?
Hata kama wapo hivyo kweli acha wawe kama mambo yenyewe ni haya ya kugawa pumzi ya taifa kwa wageni.

Wewe hao Mkapa na Magufuli uliosema hawakuandamwa na hao uliowataja kuna siku ulisikia wakisema wanataka kutoa bandari kwa wageni?tena kwa mikataba iliyogubikwa na utata?Mwinyi aliuza kipande cha ardhi sijaona ukiweka hapa maoni yako namna unavyolichukulia hilo.

Shida ni hizi dini zinatufikisha mahali hatuuoni hata umuhimu wa taifa letu,ilibidi hata Bakwata waseme kitu lakini nao wapo kimyaa kisa kaingia mkataba aliyewapa dini!
 
Friends and Enemies,

In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.

PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete,kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.

Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech,kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.

Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili??

Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao,uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini??
Jambo la msingi haijalishi kasema nani je yanayosemwa ya ukweli?
Watanzania badala ya kuangalia content huwa tunaangalia kasema nani.
Ndio maana nashangaa wanaomsema luhanga mpina kuwa anayosema ni kwa sababu katemwa maana haijalishi anayasema kama kisasi ili mradi anayasema yana ukweli ndilo la msingi.
 
Back
Top Bottom