Yaan wewe ndo kilaza hiyo ni shorcut au longcut?Kwann hamkuenda Advance mkapenda vya bure shortcut
Yaan wewe ndo ****** hiyo ni shorcut au longcut?
Leo tare 03/8/2016 ndo kusahulika sijuii!!CAS will be opened for applicants with diploma qualifications by 31st July 2016. Thank you.
Website inafunguka mkuu muda wote sema labda unachotaka uone haukionidaaaah kweli isee naona wametusahau kabisa siku mbili website yao haifunguki jion hii imefunguka ila bado hamna jipya kuhusu diploma
Sio kila mtu aliyeenda dip alienda shortcut au alifeli farasi ww funga do..Kwann hamkuenda Advance mkapenda vya bure shortcut
Wewe Kweli Pimbi!!! Kwani Kila Mwenye Diploma Hakuenda Advance???Kwann hamkuenda Advance mkapenda vya bure shortcut
Watumishi wasioamini kama CCm ni mabosi wake waondoke by ......Hapana ndio majiri na boss wako![]()
![]()
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
Wametangaza kufungua tar 8.8