Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Masikini wale wa Diploma wamesahauliwa kikweli kweli kwa sasa!!
Hawana GuideBook! Hawana Tamko! Hawana Wa Kuwatetea!! NACTE wametemwa! TCU haiwatazami! Ndalichako Kawasahau!!.
Haya Form 6 kila la Kheri vyuo vimejengwa kwa ajili yenu tu maana Serikali ya viwanda haitambui uwepo, umuhimu, thamani, michango, wala haki ya kupata elimu kwa Diploma holders.
Hawana GuideBook! Hawana Tamko! Hawana Wa Kuwatetea!! NACTE wametemwa! TCU haiwatazami! Ndalichako Kawasahau!!.
Haya Form 6 kila la Kheri vyuo vimejengwa kwa ajili yenu tu maana Serikali ya viwanda haitambui uwepo, umuhimu, thamani, michango, wala haki ya kupata elimu kwa Diploma holders.