Ni moyo sawa, ila pesa ndio ina 'activate'..sometimes labda uwe maarufu n.k. ila Kama mwanaume utakuwa hohe hahe walahi utaishia kupenda tu na kula kwa macho.
Hakuna haja ya kuingia sana kwenye details...we jiulize tu, hivi hakuna Askari Mgambo wa jiji, au kijana Shoe shiner n.k. ambaye angetamani kuwa na Mtoto mrembo kama let say Nancy Sumari siku alipomuona akikatiza jirani naye? labda jibu ni 'wapo wengi tu'...sasa basi ni nini kimemzuia huyu Askari au Shoe shiner asijongee kwa Nancy na aombe namba ya simu?
Kama kuna mifano tofauti na hivyo huwa kwa uwiano wa 1:100m, au ungoje kuona kwenye movies.