HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
- Thread starter
- #121
DaaaaaaahHakika wanakosea sana
DaaaaaaahHakika wanakosea sana
Nice mkuuMkuu...pesa inakujaje kwenye mapenzi...sema pesa ni muhimu ktk maisha.
Umeona eeeehSisi wanaume huwa tunapenda kutoka moyoni ila wanawake wanapenda pesa tu hakuna kingine.
KwaninVyote viwili moyo na mpunga
Vizur sanaMapenzi ni kama nyumba ya kuishi, hivyo moyo unasimama kama jengo na pesa ni kama madirisha yanayoingiza hewa mjengoni.
Na jengo bila hewa ni kama godown, kiumbe lazima atafute upenyo ili aenjoy maisha.
Huwezi tenganisha vitu hivyo katika mapenzi.
Si kweliPesa,kwa upande wangu mwanaume asiponipa pesa najua wazi hajanipenda na anapo pa kuzipeleka,ambako ni kule alikopenda...
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Moyo. Without moyo hutaweza kupenda.. utakuwa una act
Nyc pointPenzi la kweli ni pesa kwa maisha ya sasa ila zamani ilikuwa ni kutoka moyoni ingawa wachache bado wako nalo
Kwanin pesaMbona jibu lipo wazi.
Pesaaa
Vizur mno [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Upendo wakweli nimoyo nasio pesa kwani kwenye mapenzi yakweli haijalishi kama unapesa au laaah