cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,899
- 78,944
Moyo
[quote uid=157962 name="atoto" post=18433798]Kwanini aishiwe![/QUOTE]<br />Biashara zake zinaweza firisika...<br /><br />kazi anayofanya anaweza achishwa na kupata tena mtihani,<br /><br />bahati mbaya anaweza pata ajali na kupelekea ulemavu na kushindwa kutafuta pesa kama ilivyokuwa mwanzo,<br /><br />Mabadiliko ya uongozi kama anko magu,iliyopelekea wengi kupoteza vyanzo vyao vya vipato.<br /><br />Na sababu nyingine lukuki<br /><br />Yeye ni binadamu..hakuna uhakika atakuwa na pesa siku zote..vile vile huyo asiye na pesa anaweza kuja kuwa na pesa..pesa ni maua<br /><br />Mm mwanamke anayeangalia pesa naona hana akili haangalii mbali,ni mnafiki,kama anapenda pesa si atafute zake mwenyewe.<br /><br />Upendo/mapenzi ya kweli hayachangamani na pesa...ni sawa na maziwa kuwekwa maji,hayawi na radha inayotakiwa..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Biashara zake zinaweza firisika...
kazi anayofanya anaweza achishwa na kupata tena mtihani,
bahati mbaya anaweza pata ajali na kupelekea ulemavu na kushindwa kutafuta pesa kama ilivyokuwa mwanzo,
Mabadiliko ya uongozi kama anko magu,iliyopelekea wengi kupoteza vyanzo vyao vya vipato.
Na sababu nyingine lukuki
Yeye ni binadamu..hakuna uhakika atakuwa na pesa siku zote..vile vile huyo asiye na pesa anaweza kuja kuwa na pesa..pesa ni maua
Mm mwanamke anayeangalia pesa naona hana akili haangalii mbali,ni mnafiki,kama anapenda pesa si atafute zake mwenyewe.
Upendo/mapenzi ya kweli hayachangamani na pesa...ni sawa na maziwa kuwekwa maji,hayawi na radha inayotakiwa..
Wooooooh [emoji12] [emoji12] [emoji12]Moyo
Wooooooh [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mapenzi ya kweli yapo moyoni mkuu na sio kwenye walletFafanua moyo kivipi
Mapenzi ya kweli yapo moyoni mkuu na sio kwenye wallet
Nzuri hiyoUpendo ut ajengeka mbele kwa mbele kikubwa ni kuwa na mtu sahihi mwenye utu basi,mambo ya upendo hayo ni drama drama....UPENDO WA KWELI TUNAUPATA KWA MUNGU TU ila duniani kila tunafanya tukiwa na sababu zetu ambazo ni siri zetu moyoni
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Zamani ilikuwa moyo ila kwa sasa ni mwendo wa Tigo pesa,M-pesa,Airtel money na Halo Pesa tu.Moyo hata ng'ombe anao unauzwa buchani.
Akuuuuuuuu mie moyoNi hautaki au?
Kama hauna pesa yako ndio utasema pesa, inaelekea wewe ni pesa.
Vizur sanaaMapenzi ya kweli yapo moyoni mkuu na sio kwenye wallet
Bora wewe umekuwa muwazivyote kwa pamoja vinahitajika
Hahahahamoyo muachie ben paulo.... mapenzi pesa either we kwenye dunia ya kuhonga au ukae kwa wanao hongwa.