Siyo mbayaWhy watumishi wa umma pekee? Nadhani watu wote tunapaswa kuguswa kama kukatwa tukatwe wote hiyo %
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshahara ukatwe wa nn ! Wakati Kodi wanakatwa tayari ?Kwanza niseme wazo kuwa mm ni muumini wa ahadi za mwanatanu. Ambapo msisitizo ni uzalendo kwa nchi.
Nikiwa mtumishi wa umma huku nikiiona changamoto ya kupambana na covid-19 napendekeza serikali itukate watumishi wa umma wote walau asilimia mbili za mishahara yetu na pesa iende kusaidia mapambano dhidi ya corona. Katika hilo naomba tutangulize uzalendo. Nchi ni yetu na matatizo ni yetu.
Hata hivyo natoa wito kwa watanzania wenzangu wote tukumbuke kuomba risiti hii kama sehemu ya kuimalisha uchumi wetu.
Kuwa mzalendo Kwa nchi yako. Nchi ni yetu lazima tuipende.Corona itamfata mtumishi wa umma kabrini akiwa tayari kafariki kwa hayo makato
Fungu la majanga linafanya kazi ganiKwanza niseme wazo kuwa mimi ni muumini wa ahadi za MwanaTANU. Ambapo msisitizo ni uzalendo kwa nchi.
Nikiwa Mtumishi wa umma huku nikiiona changamoto ya kupambana na covid-19 napendekeza serikali itukate watumishi wa umma wote walau asilimia mbili za mishahara yetu na pesa iende kusaidia mapambano dhidi ya corona. Katika hilo naomba tutangulize uzalendo. Nchi ni yetu na matatizo ni yetu.
Hata hivyo natoa wito kwa watanzania wenzangu wote tukumbuke kuomba risiti tutakaponunua bidhaa madukani jambo ambalo litasaidia kuimalisha uchumi wetu.
Kwanza niseme wazo kuwa mimi ni muumini wa ahadi za MwanaTANU. Ambapo msisitizo ni uzalendo kwa nchi.
Nikiwa Mtumishi wa umma huku nikiiona changamoto ya kupambana na covid-19 napendekeza serikali itukate watumishi wa umma wote walau asilimia mbili za mishahara yetu na pesa iende kusaidia mapambano dhidi ya corona. Katika hilo naomba tutangulize uzalendo. Nchi ni yetu na matatizo ni yetu.
Hata hivyo natoa wito kwa watanzania wenzangu wote tukumbuke kuomba risiti tutakaponunua bidhaa madukani jambo ambalo litasaidia kuimalisha uchumi wetu.
For real JK was very great Leader, na aliheshimu sana Utumishi wa UmmaMleta mada unahamu ya kutukanwa. 5 yrs with no salary increment halafu wewe unasema tukatwe 2%.
Unajua kama JK angeendelea kuwa mtawala mpaka sasa ningekuwa ninalipwa SH.ngapi?