Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,515
- 4,230
Na tunaodhulumiwa na kuteswa na awamu hii tufanyaje?
🤩🤩Huyo bilionea kishanunua zingine
waziri wa serikali hii amekiri hadharani kuna walioumizwa na wameanza kuponywa je, hiyo ya waziri Nape ni nonesense?nonsense as usual.
Ainisheni mateso yenu hapa tuwasaidieNa tunaodhulumiwa na kuteswa na awamu hii tufanyaje?
Mkuu msalimie Nyangetanonsense as usual.
Nape ni moja kati ya mawaziri bogus nchi hii imewahi kupata.waziri wa serikali hii amekiri hadharani kuna walioumizwa na wameanza kuponywa je, hiyo ya waziri Nape ni nonesense?
Tumedhulumiwa na kuporwa mabilioni kwenye ujambazi unaoitwa "tozo" .Tumefilisika mitaji kwa kufunga saluni na biashara zetu wengine wauza samaki zimeozea kwenye mafriji kwa migao ya umeme.Ainisheni mateso yenu hapa tuwasaidie
Ruzuku hazitokani na kura za wabunge , taarifa yako ni feki
Zinatokana na nnRuzuku hazitokani na kura za wabunge , taarifa yako ni feki
Mimi nilidhurumiwa kutokupiga madili yaliyokuwa yanatufanya tunatamba vilabuni na kupola Mali za uma na kunyanganya viwanja vya masikini na kuwatishia. Pia nilidhurumiwa kuwatishia watuSasa ni dhahiri kwamba Wimbi la watu kudhulumiwa mali zao wakati wa Utawala wa John Magufuli liko bayana na ni kubwa kuliko tulivyodhani...
Zinatokana na Kura anazopata mgombea urais wa chama husikaZinatokana na nn
Kwahy unataka kunambia idadi ya wabunge bungeni sio sababu.?Zinatokana na Kura anazopata mgombea urais wa chama husika
uko sahihiKwahy unataka kunambia idadi ya wabunge bungeni sio sababu.?
Kwahy kumbe ukipata kura 2m+ ndo unapata posho zaidi ya 800m+ kumbe siasa ina pesa hv ndo mana kuna watu hawataki kuiacha.uko sahihi
Je hiyo posho ni ya miezi mingapi ?Kwahy kumbe ukipata kura 2m+ ndo unapata posho zaidi ya 800m+ kumbe siasa ina pesa hv ndo mana kuna watu hawataki kuiacha.
Hv hy posho wanakuwa wanapewa kila baada ya muda gani.?
Chadema bhana, sasa nakuuliza swali afu na ww unaniuliza swali hilo hiloJe hiyo posho ni ya miezi mingapi ?
Limo jibu ndani ya swali languChadema bhana, sasa nakuuliza swali afu na ww unaniuliza swali hilo hilo
Watu wengi waliumizwa kwa namna mbalimbali, kuna waliouawa, waliovunjiwa nyumba zao, walioharibiwa mashamba yao, kuna walifukuzwa kazi, kuna waliporwa fedha na zingine nyingi tu. Maridhiano ni muhimu katika sehemu zote maana watu wana maumivu mioyoni mwao.Sasa ni dhahiri kwamba Wimbi la watu kudhulumiwa mali zao wakati wa Utawala wa John Magufuli liko bayana na ni kubwa kuliko tulivyodhani .
Watu wameporwa karibu kila kitu , wako walioporwa hela zao , humu wamo walioguswa kwenye akaunti zao ( bila kujali kama wanadaiwa au hawadaiwi ) , wako pia wale wa Plea bargain akiwemo Habhinder Seth na wamo pia wenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni ( Bureau De Change ) , wako walioporwa Mashamba yao akiwemo Sumaye , wako walioporwa Viwanja na nyumba , akiwemo GSM , Wako walioporwa magari na kesi zingali Mahakamani , Bila shaka wako walioporwa Wake ama Waume zao kwa utaratibu ule ule wa kishamba wa " Unanijua mimi nani " , Wako wengine walioporwa Uhai wao akiwemo Lwajabe , mnyororo wa walioporwa ni mrefu sana , hatutaweza kuumaliza .
Kwa vile serikali ya awamu ya 6 imetambua uporaji huu na imeanza kuwarejeshea pesa zao baadhi ya wahanga , basi Natoa Wito kwa watu wote waliodhulumiwa chochote kile na serikali ya kikatili ya awamu ya 5 , wajitokeze hadharani tuwafahamu na kufahamu njia zilizotumika kuwapora mali zao ili tuangalie namna ya kuwasaidia , hakuna haja ya kuficha ficha mambo , hakuna haja ya kuogopa kufichua maovu ili kuanika kila uchafu uliofanywa kwenye awamu ile .
Jambo hili ni muhimu kufanyika kwa sababu si wote walioporwa ni maarufu , si wote walioporwa wana ujasiri wa kuyatoa mambo yao hadharani wao wenyewe bila kulindwa , watu waliowatisha na kuwapora wengine bado wako hai na wengine bado wamekalia vitengo .
View attachment 2559592