Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

Jamaa Mzushi sana wewe. Dr Slaa amekuwa Mbunge tangu mwaka 1995 na Arfi ameingia Bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2005 halafu unasema Arfi alikuwa anaitesa CCM wakati Dr Slaa bado hajulikani? Labda wewe ndio ulikuwa humkui lakini Patrick Tsere wa Karatu anamfahamu vizuri sana. Wazo la Slaa kugombea Areumeru halikubali, sio muafaka, ni kichochezi na linaashiria agenda binafsi kama sio uoga wa nguvu zake anazoelekeza kuijenga CDM. Hebu rudi kaendeleze hoja yako ya Mrithi wa marehemu Regia Mtema hapa umechemsha sana
 
Big NO. magamba wataona anuchu wa madaraka na pesa hasa za bungeni , hadhi ya chama itashuka. abaki kuwa mgombea urais tuu. Cha msingi wajipange sawasawa, wachukue jimbo hilo.
 

elishilia kaaya ambaye ni mkurugenzi mwendeshaji wa aicc na mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa nec anachukuwa ubunge huo wa arumeru mashariki mapema asubuhi hakuna ndani ya cdm wa kushindana naye
 
Hii itamvurugia mikakati yake 2015. Nafasi ni kubwa sana ya kuchukua nchi.
 
Mamatau kumekucha amka! Mbona unaendelea kuota na kijua kishachomoza? Amka!

Usije ukalala wewe!
Watu kama hao ni kuwaacha walale mpaka wapitiwe na kifo hukohuko usingizini.
 
Umechambua vzr kaka, Slaa kichwa cha urais kile, kugombea ubunge ah, no. Kwani bila wizi yeye si ndo angekuwa prezidaa wetu sasa? Wamweke huyo kijana agombee tena, hulo ni kwao, ana uchungu nako mkubwa, Dr Slaa ampigie debe, kura zilindwe, na nina uhakika CDM itashinda tu!
 

Mhe wizi wa kura uwa upo,mimi binafsi nilishawai kushiriki kabla sijaokoka,mimi naamini unaleta utani,hao unaowataja kuwa mbona wanashinda uwa wanashinda kwa kiwango kikubwa ambacho hata kamati za ushindi/wizi haziwezi kubadili kitu,si rahisi kubadili kura za tofauti ya 5000!lakini kama ni ndani ya 1000 uwa wanaweza kubadili,kumbuka wizi unaotumika ni wa aina nyingi sana,si wakuchomeka kura tu,upo wa aina nyingi mfano kuharibu kura za upinzani kurubuni mawakala wa upinzani na kuandika idadi ya uongo kuendana na kura zilizopigwa nyingine ni kununua shahada kabla ya uchaguzi,kama utapinga yote hayo utakuwa umeamua kubisha tu.
 
"Mmiliki halali" wa Jimbo hili ni Lowasa. Atakalosema ndilo litakalokuwa. Hata akiamua mkwewe amrithi baba yake ndivyo itakavyokuwa.
 
ubunge ni too low kwa huyu mchizi, hii daktari ni beyond presidential material we kipofu.
 
Tunamhitaji Dr W Slaa Arusha Mjini bana ha ha ha ha ha ha ha ha ha.
 
jibu wapi nilipoandika au kuonyesha nina nasaba na hicho chama chenu cha kususa na kuandamana?mbona unaikwepa hii,sema tu ulikurupuka usione haya!

Pole Magamba mbinu yako imejulikana peupe.Rudi kwa Nepi mwambie wale watu wamenishtukia
 
Lema ana uwezo mdogo sana wa kujenga hoja zenye logic za kisomi na kutoa structured arguments kutetea kile anachodai, hivyo si sahihi kabisa kumuweka kundi moja na Dr.SLAA, LISSU au Zitto. Lema ana siasa za ufuasi zaidi kwa maana ya kuwa na upeo mdogo!
 
Joshua Nasari ni kijana machachari anayekubalika pia

Joshua anafaa na anaweza sana , tusitumie bomu kuua sisimizi jamani. ile ni nafasi ya kijana Nassary na tayari ameshajijenga sana kisiasa Meru
 
Umetoa wazo watu wote wamelipinga unakomaa nalo tuuuu! we vipi umetumwa? ushindwe.
 

Kabla ya kuleta upupu hapa kashauri kwanza ccm wenzako namna ya kujivua gamba
 
Kwa hadhi ya dkt.SLAA kusimama na MAGAMBA kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ni kumdhalilisha kisiasa. Pia MAGAMBA wako tayari kuhamishia jeshi,vifaru mizinga, usalama wa taifa maguruneti, silaha zote za kivita vigagura na wachawi wao kwenye jimbo husika kuhakikisha dkt SLAA anashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…