Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!


Kweli Mkuu Mwita Maranya uliona mbali. Hapo kwenye red ndipo anaonesha rangi zake halisi! Eti kaanzisha thread "kuishauri Chadema". Chadema haishauriwi na wana wa Shetani - the gambaz et al. Uzuri, hila zenu hujionesha mapemaaaaa kabla hamjapiga hata hatua moja katika "hoja" ya kipuuzi mnayotaka kuijenga.
 
nakubaliana na ww kabisa, japo mashaka yangu yapo kwenye hiyo nguvu ya EL ambapo nasikia mwenyekiti wa tume ni shemeji yake, so bado inaweza ikawa shida kulinganisha nguvu ya Dr. na EL kwenye kampain.

tatizo kubwa sana,mzee hivi unajua process ya uchaguzi na nafasi ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi lakini?tatizo hii chadema yenu wengi mnaifanyia hapa jf tu,hebu siku moja muombe nafasi mkawe ma agent wa chama chenu huko site mkaone kura zinavyohesabiwa na kujumlishwa kituo kwa kituo,yani hata wewe ukiwa na baiskeli yako ukaamua ku take trouble ya kuzunguka kituo hadi kituo na daftari lako then ukakaa chini ya mwembe na kujumlisha utayapata matokeo hata kabla mwenyekiti hajayatangaza na ikakusaidia kuacha kukariri mambo wanayosema wanasiasa baada ya kushindwa
 
So far hakuna hoja iliyobaki zote ulizoweka mezani nimezipoteza.
Kama kuna nyengine ilete, nimekwambia i'm here to stay!

wapi niliposema ama kuonyesha dalili ya kuwa mimi ni mtu wa cdm?ni quote at least twende sawa.
 
akiambiwa yeye ni antichadema anadai eti kaambiwa yeye ni CDM.
 
Mnafiki utamjua tu. we kwa mapenzi gani kwa CDM mpaka utushauri kwa dhati? hizo trick zako za kitoto warudishie masaburi wenzako huko magambani. DR SLAA NDO RAIS WA TANGANYIKA.
kwa uchaguzi upi mzee au alirithi toka kwa mzee wake?
 
KIM!
nilikuwa miongoni mwa walinzi wa kura wa john mnyika pale ubungo, kura zilizohesabiwa na kutangazwa majimboni ni tofauti na kura zilizotajwa na tume ya uchaguzi? upo hapo?
 
Ni wazo zuri, lakini kwa upande wangu si liungi mkono moja kwa moja kwasababu kuu mbili;
  1. Ikitokea akashindwa kwa namna yoyote ile, itakiathiri chama kuitetea hali hiyo! Kwa propaganda na siasa za kitanzania navyozijua, wabaya wake watapandia pale kuwa yawezekana hata Urais hakuwa ameshinda kweli. Na hii inaweza kuleta shida kwake kama tunadhani kuwa bado mwaka 2015 bado atakuwa na nafasi ya kutetea tena nafasi ya urais.
  2. Kazi ya kukijenga chama bado ni muhimu pia, ambayo nadhani alipaswa kuelekeza nguvu zaidi huko! na kitendo cha kuwania Ubunge, kwa wengine kingetafsiriwa kama ni "Uroho wa madaraka" badala ya utumishi.
Hayo ndio maoni yangu binafsi yawezekana siko sahihi pia.
 

siasa kabila hii na zile za kumwagia tindikali watu usoni mnaotofautiana nao kisiasa ndio zinawacost kwenye chaguzi mbalimbali kubwa na ndogo mnapoteza,u need to change ur strategy za kufanya siasa kama mnataka mafanikio kwenye political arena.Otherwise mtakua mnalia kila baada ya chaguzi na kuishia kuandamana na kususa kupeana mikono,matokeo yake wapinzani wenu wanawaita hicho ni chama cha kususa na kuandamana!
 

Mkuu post zako unataja kuwa CDM imeshindwa kihalali na mifano yako lukuki lakini hapo hapo huamini katika kushindwa
Mkuu watu makini hawafanyi mambo kwasababu fulani alifanya akaweza, unatakiwa kufanya tathmini yakinifu na kuzingatia factor mbali mbali, kila jimbo lina tabia zake,

Ok umetoa mfano wa Tarime nikweli yule bwana alimrithi vizuri Chacha lakini unajua sababu za kuja kupoteza jimbo kwa CCM uchaguzi mkuu, simply ni kwa sababu CDM walisimamisha mtu kwa matakwa ya chama.

Unapozungumzia swala la elimu hivi elimu gani unazungumzia hiza za Havard za kina Chenge au? hivi unaweza kulinganisha michango ya wasomi wangapi bungeni ukaweza kulinganisha na michango ya watu kama akina Kafulila na Mnyika wasio na degree.
Sitaki kuamini kama mapendekezo yako yote hayo ya Dr Slaa dhidi ya Mbowe kigezo ni elimu. you better think than that dude

Kumuita Joshua mbele ya chama si kuita wapigara kura mbele ya chama, ndio yale yale ya kusimamisha mgombea kwa matakwa ya chama badala ya wapiga kura.

Nimekuuliza mambo ya msingi lakini umekimbila mepesi kwa sababu tu eti Mrema aliweza temeke basi Slaa ataweza Arumeru mashariki, nyakati zimebadila sana mkuu watu wamepata mwamko na uelewa mkubwa wa nini wanataka wao, Temeke leo hii haina mzawa ni full wahamiaji toka bara unapo zungumzia Arumeru yaani kule ni wenyewe watupu mkuu, unahitaji uhakika wa kutosha kama watakubali mgeni kuja kuwawakilisha na si kwasababu Mrema sijui alifanya nini, NOPE

Mwisho kwenye red, maandiko yangu yamejaribu sana kuangalia factor hiyo, tuna maanagani tunaposema "wananchi wakitaka utashinda tu" je ni kwa kuwapelekea mtu au kwa wao kuamua mtu wampedae na kuona ni mwenzao
Rejea bandiko langu la kwanza pitia risk za Dr kugombea ndio utajua je wakati unakwenda kwenye uchaguzi wananchi wanataka?
 

kwani alichokifanya dr akiwa mbunge hukukiona?au ulikua bado mdogo?
 
sasa kwann kwenye hoja zako juu umepinga kuwa CCM hamna nyufa?

mzee kwanini unakua mvivu wa kusoma wewe?rejea ukasome nilichoandika,jamaa alitaka kuleta uongo kwa kusema eti kwa slaa kutokua mbunge na kufanya kazi za chama matokeo yake ndio ccm imekua na nyufa,ndio nikamuuliza nyufa gani alizozisababisha slaa huko ccm toka ametoka bungeni?unless mniambie anashirikiana na kina lowassa na rostam kwa namna moja ama nyingine ambao ndio chanzo cha nyufa huko ccm
 
Pendekezo lako limebeba chuki binafsi kwa KUB, mgombea atapatikana kwa wanaarumeru wenyewe na sio lazima Joshua labda tu waamue wenyewe kumrudisha CDM msiamini lugha ya anamtaji wa kura. Dr Slaa anatafuta kulala Ikulu bure, nyumba Dodoma bei juu sana kama huamini muulize Makinda.
 

No mimi sio chadema but napenda kuona upinzani unashamiri na kustawi kwa kuwa mimi ni muumini wa demokrasi,sitaki turudi kwenye enzi za chama kimoja,nataka chama chochote kinachotawala kiwe challenged na upinzani wenye nguvu ili tupate maendeleo,mnashindwa kunielewa kwa kuwa nyie nyie mko kwenye ushabiki zaidi na hamuelewi dhana nzima ya multi partism,mwisho wa siu ni lazima ushindani wa kisiasa uwe manufaa yetu sisi wananchi full stop!bado wachanga wa demokrasia ya vyama vingi lakini kadri siku zinavyokwenda na uwepo wa wtu kama sisi mtakomaa tu,tutaendelea kuwa challenge kwa kusema vile msivyopenda kuvisikia!
 

Now You Have show your True Colour!! Payroll style
 
...wazo zuri lakini litajenga kutoaminika kwa dr. Kuna vijana wengi wanaoweza kuwakilisha maeneo yao vizuri na wanakubalika pia. Joshua asimamishwe kama mgombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…