kuna thread humu ulikuwa unadai ndiye uliyemchagua Mallah wa Arusha. Leo upo Igunga we kweli mpumbavu. Uwongo wako umejidhihirishasisi wakazi wa igunga tutafurahi sana kama Leopard mahana atarudi kugombea tena kwani ni kipenzi cha wana igunga kwa huyu tutahakikisha anaingia kwenye mjengo Dodoma kwani ni mtetezi na mkombozi wa wanaigunga kwani uchaguzi uliopita alipata kura nyingi 11000 kwa tiketi ya cuf, kwa hiyo tunamuomba aje tumpe jimbo atuongoze.
sisi wakazi wa igunga tutafurahi sana kama Leopard mahana atarudi kugombea tena kwani ni kipenzi cha wana igunga kwa huyu tutahakikisha anaingia kwenye mjengo Dodoma kwani ni mtetezi na mkombozi wa wanaigunga kwani uchaguzi uliopita alipata kura nyingi 11000 kwa tiketi ya cuf, kwa hiyo tunamuomba aje tumpe jimbo atuongoze.
sisi wakazi wa igunga tutafurahi sana kama Leopard mahana atarudi kugombea tena kwani ni kipenzi cha wana igunga
Wana jf habari ya hapa jamvini, sisi wana igunga tunamtaka mboje aje agombee hapa tutampa kura zetu,
Alishindwaje kuingia mjengoni uchaguzi uliopita kama alikuwa kipenzi chenu? Angalizo kwa CDM. Kuna watu wanashauri ahamie CDM ili apate ubunge. CDM isiwe ngazi ya kupandia kwenda bungeni. Kama kweli anakubaliana na sera zenu, mkaribisheni. Vingenevyo mtajikuta na hundreds of Shibudas.
nawashauri cdm wampeleke mpendazoe akagombee jimbo la igunga! Huyu jamaa anakubalika sana kwa watanzania
Ndugu usidhani kila sehemu kuna watu wenye akili sawa. Kama wewe unaona CDM ni chama cha maana sana basi ni huko huko kwenu sio kila mahali. Sio lazima upuuzi wa kilimanjaro uende Igunga!kama mahana anataka kushinda basi hana budi kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema! Na kama Mahana ni mwanasiasa makini, mwenye mawazo chanya na fikra pevu, na kama amewahi kutumia muda wake kusoma alama na majira ya nyakati juu ya uongozi wa nchi hii kwa sasa pamoja na upepo wa kisiasa unao vuma kipindi hiki; Basi Mahana atahama CUF! Nitamshangaa sana kama Mahana atakubali kuwa mgombea wa chama ambacho tayari kimekubali kuolewa na chama cha magamba(ccm)
Kwani Igunga hamna Wachagga?cdm wasijidanganye igunga watatoka kapa hata kama watamsimamisha dr. Slaa, wana igunga siyo wajinga kumchagua mbunge atokaye nje ya igunga
ndo maana mnalala giza kwa kosa la cku moja la kufurahia kanga na pombe!Ndugu usidhani kila sehemu kuna watu wenye akili sawa. Kama wewe unaona CDM ni chama cha maana sana basi ni huko huko kwenu sio kila mahali. Sio lazima upuuzi wa kilimanjaro uende Igunga!
<br />ndo maana mnalala giza kwa kosa la cku moja la kufurahia kanga na pombe!
<br />Nawashauri CDM wampeleke Mpendazoe akagombee Jimbo la Igunga! Huyu jamaa anakubalika sana kwa Watanzania
<br />Kwani Igunga hamna Wachagga?
Nakwambia anagombea. Jana alikuwa na kikao kirefu na Membe na Msekwa. CCM wanaona njia pekee ya kushinda jimbo la Igunga ni kumuweka Kubenea. Wamemhakikishia vikao vya chama vitampitisha. Lakini mkakati mzima unaonekana kutaka kumyamazisha yeye na gazeti lake. Wanaamini kuwa akijitosa katika mbio za ubunge Igunga, basi hataweza tena kuwachapa.
<br />hii tushaijadili hapa - tukasema jimbo hilo liende kwa vijana, DR. ana mambo mengi ya kufanya more than that.
<br />hii tushaijadili hapa - tukasema jimbo hilo liende kwa vijana, DR. ana mambo mengi ya kufanya more than that.