Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano
Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano
Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano
Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano
Tatizo sio katibu wa Bunge.Huu ni ukweli na picha halisi ni jinsi gani serikali ya CCM inavyoingoza nchi inasikitisha!MUNGU IBARIKI TANZANIA.Una hoja kaka, hii ni aibu sana, ajiuzulu hyu mzee
Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano
Nakuunga mkono 100% kwa sababu;
kweli alipaswa kujiuzuru ila tatizo huu msamiati hapa Tz hautumiki sana hivyo si rahisi kihivyo
- awali wakati anaulizwa alikana kwamba yeye si msemaji wa bunge ila spika ndiye ajuaye na mwenye majibu
- akakurupuka kujibu mambo yasiyo mhusu kama alivyo kiri awali kuwa posho hizo hazijapanda hata cent ila huu ni uzushi wa vyombo vya habari na kuwashangaa wabunge wanao kiri kupanda huko
- Spika (mwenye dhamana) kadhihilisha kuwa ni mwongo yaani si mkweli hata kidogo
- tuta mwamini vipi kwa yaliyo pita na mambo yajayo haweze kuuaminika tena kwa sababu ana ajenda ya siri
MUNGU LABDA AINGILIE KATI
Kwa kutuona sisi Watanzania nni Majuha na mazezeta natoa wito huyu Katibu wa Bunge ndg Kashilila ajiuzulu mana amedanganya umma huyu nae ni mwizi na fisadi tu...kama hataki tulianzishe maandamano