Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Una hoja kaka, hii ni aibu sana, ajiuzulu hyu mzee
Waliomtangulia hadi Tume ya Bunge kuundwa na kutakiwa wajiuzulu au kufukuzwa Luhanko, Jairo, Ngeleja, Malima et all wameshajiuzulu?
Inatakiwa si Kashilila pekee afukuzwe au kujiuzulu na Spika Makinda ajiuzulu, itawezekana?