Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

Nampendekeza benson kigaila mkurugez wa opereshen na mafunzo kuwa katibu mkuu chadema sababu yupo nje ya bunge ataweza fanya shughul za chama vzr pia anauwezo wa ushawishi na nimzoefu wa kaz ila acoperate na bavicha ai inue upya maana ni km ciioni kwny siasa tena

Kigaila angefaa sana kuchukua kiti cha mwenyekiti...tatizo hajatokea ule ukanda wetu
 
dr slaa ; kama alivyorudishwa IBRAHIMU
 
Kama mnaona ujinga, basi kifanyeni chama kionekane kitaifa sio kikanda, haiwezekani chama kizima nafasi zote za juu ziwe za kanda moja, Halafu mlazimishe Watanzania tukiamini, mbona nyinyi mmeshindwa kuwaamini wanaotoka nje ya kanda yenu?

Mmmmmmh!!!! hata picha imekushinda kuelewa.....

Nafasi ZOTE ZA JUU unamaanisha makamu mwenyekiti naye anatoka kaskazini??
 
Hebu muwekeni mgogo kwenye hiyo nafasi chama kitapaa sana
 
Mnahangaika na matahira CCM....

Taarifa isiyo kuwa sahihi ni vyema kuirekebisha kwa wale wasiojua waweze kuelewa. Kuiacha ienezwe hivyo kutapelekea kuwaaminisha wale wasiyojua na wasiotaka kufatilia
 
Nafasi nzito hii, ina demand respect from individual. Kwahiyo wote waliopendekezwa mpaka sasa wanapwaya.
 
Nampendekeza benson kigaila mkurugez wa opereshen na mafunzo kuwa katibu mkuu chadema sababu yupo nje ya bunge ataweza fanya shughul za chama vzr pia anauwezo wa ushawishi na nimzoefu wa kaz ila acoperate na bavicha ai inue upya maana ni km ciioni kwny siasa tena

Mbatia anafaa sana aisee
 
Nampendekeza benson kigaila mkurugez wa opereshen na mafunzo kuwa katibu mkuu chadema sababu yupo nje ya bunge ataweza fanya shughul za chama vzr pia anauwezo wa ushawishi na nimzoefu wa kaz ila acoperate na bavicha ai inue upya maana ni km ciioni kwny siasa tena
Salum Mwalimu alieko sasa anatosha sana.
 
Apewe mke wa Mbowe, hii itahakikisha chama kinabaki nyumbani.
 
Back
Top Bottom