Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

desertfox

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2014
Posts
347
Reaction score
244
Nampendekeza benson kigaila mkurugez wa opereshen na mafunzo kuwa katibu mkuu chadema sababu yupo nje ya bunge ataweza fanya shughul za chama vzr pia anauwezo wa ushawishi na nimzoefu wa kaz ila acoperate na bavicha ai inue upya maana ni km ciioni kwny siasa tena
 
Kigaila yupo vizur sana! ila kwenye nafasi ya ukatibu mkuu bado aisee.
 
Ataafaa jaman con wengine uyo salum cdhan km atahimili mshindo
 
Halafu acha kutuandikia habari kwa kufupisha maneno senzy sana.
 
Ficha ujinga, wako

Kama mnaona ujinga, basi kifanyeni chama kionekane kitaifa sio kikanda, haiwezekani chama kizima nafasi zote za juu ziwe za kanda moja, Halafu mlazimishe Watanzania tukiamini, mbona nyinyi mmeshindwa kuwaamini wanaotoka nje ya kanda yenu?
 
Kama mnaona ujinga, basi kifanyeni chama kionekane kitaifa sio kikanda, haiwezekani chama kizima nafasi zote za juu ziwe za kanda moja, Halafu mlazimishe Watanzania tukiamini, mbona nyinyi mmeshindwa kuwaamini wanaotoka nje ya kanda yenu?

Ficha ujinga kwa mara nyingine
 
Naona apewe Mbatia.....kwan alikijibia vizuri kipind cha mashambulizi ya Dr Slaa ( najua kua yupo nccr)
 
kama muislam na hatokei katika kanda yetu basi hatufai. Hata Salum Mwalim pale alipo ndipo kilele chake kisiasa
 
Kigaika hata mimi naunga mkono, Jamaa yupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom