Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
Moja ya viongozi Tanzani ni huyu bwana Freeman Mbowe, namhusudu kwa 100%, nayasema haya kutokana na uongozi wake tangu awe Mwenyekiti wa Chadema taifa na kukipa chama hicho hadhi kubwa ndani na kimataifa kwa kung'ara bila misukosuko ya mara kwa mara, nadhani anastahili kutuzwa kwa hilo.
Naomba Nawasilisha.
Naomba Nawasilisha.