orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,675
- 4,241
Kaharibu mwiguluHapo Dr Jk umeharibu sana.
Umesikia deepstate imehamia msoga? Ni dharau kwa Rais na Jk
Kaharibu mwiguluHapo Dr Jk umeharibu sana.
Umesikia deepstate imehamia msoga? Ni dharau kwa Rais na Jk
Kweli mwigulu hafai.Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Prof assad hajui chochote kuhusu uchumi. Yeye anajua tu kujumlisha, kutoa, kugawanya na kutoa historical data na kuapply za watu na yeye anajiita eti msomiProfessor Assad anakidhi hio nafasi Dr.kikwete naomba uangalie hili
TRA aliiharibu ndio apewe wizara nzima????Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Prof assad hajui chochote kuhusu uchumi. Yeye anajua tu kujumlisha, kutoa, kugawanya na kutoa historical data na kuapply za watu na yeye anajiita eti msomi
Kishimba atafaaAchaguliwe hata Msukuma kuwa Waziri Wa Fedha, ila sio huyo Mwigulu Nchemba.
Ni kwamba hajasoma uchumi amesoma uhasibu ambao ni kujumlisha na kutoa tu.Unamfahamu vizuri Prof. Assad?
Unafahamu CV yake na uzoefu alonao?
Kwa taarifa yako jamaa yuko vizuri sana.
Kama kuna mengine useme lakini kuhusu akili jamaa ni Mzamivu na Mbobezi haswa .
Hivi nafasi za viti maalumu bado zipo?Nakuunga mkono kwa asilimia 800%, Rais Samia ampe Ubunge wa kuteuliwa Prof. Assad halafu amteue kuwa Waziri Wa Fedha au ampe ugavana BOT.
Ni kwamba hajasoma uchumi amesoma uhasibu ambao ni kujumlisha na kutoa tu.
Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Dr. Kimei anafaa pia.Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.