Mwigulu apewe nafasi ya Mang'ula maana inapwaya sana kwa sasa, Peopleoooooooooooooos
swala siyo kumfukuza hapa swala ni kumtoa kwenye uongozi wake waweke mtu makini mwenye mvuto na atakaye iletea ccm mazuri na awe kijana ambaye hekima na busara zimemjaa mbona wako wengi ccm ambao wanaweza pewa kazi ya mwigulu na mambo yakaenda wampe hata bashe ni kijana mzuri sana na mwenye uwezo waache ubinafsi na chuki.
Mwigulu Nchemba ni naibu katibu wa CCM Tanzania bara(Tanganyika!) na pia ni mbunge wa Iramba magharibi.
Mwenendo wake binafsi wa kisiasa ndio umegeuka kuwa taswira ya mwenendo wa CCM kwa ujumla kwa sasa.
Mimi na baadhi ya wanaCCM wenzangu tunaoamini katika siasa za UTU, AMANI na UUNGWANA ambazo ndio msingi wa siasa za TANU toka enzi hizo, tunapenda kutoa wito kwa mamlaka za juu za CCM kufanya maamuzi sahihi na ya haraka kwa kuamua kumtimua ndani ya CCM Mheshimiwa Mwigulu Nchemba kwa sababu:
1/Ameharibu na ataendelea kuharibu taswira nzima ya CCM katika jamii kutokana na aina ya siasa anazofanya ambazo ni Matusi, Uzushi, Fujo, Hongo, Vitisho na sasa Mauaji.
2/Hasara za kiuchumi, kijamii na kisiasa ambazo CCM inazipata kutokana na utendaji duni sana wa Mwigulu kisiasa.
3/Hatari mbaya za kisiasa ambazo zinainyemelea CCM kutokana na makosa makubwa ya makusudi yanayofanywa na Mwigulu katika siasa ambayo soon wapinzani wa CCM tayari wameshaanza kuyatumia tena vizuri sana.
*Please wanaCCM wenye kuipenda kwa dhati CCM ya enzi za Nyerere(TANU), tuungane pamoja katika hili.
Hapana, msimtoe. Ni mtu anayeiweza kazi aliyopewa na mwenyekiti wake na katibu wake. Amefanikiwa kwa asilimia nyingi, Amekuwa mbunge, naibu katibu, waziri, spika, msomi, jaji, hakimu, shahidi wa duniani na mbinguni msemaji wa chama kwa wakati mmoja na amemudu mambo yote. Nashauri mwongezeni na Lusinde kwenye timu yake kwani anaweza pia. Wa kumtoa ni mwenyekiti wake na yupo kimya kwa yote anayofanya, inamaanisha ameridhika na anachokifanya. Msimuonee gere kijana wetu mwacheni apige kazi
Mwigulu Nchemba ni naibu katibu wa CCM Tanzania bara(Tanganyika!) na pia ni mbunge wa Iramba magharibi.
Mwenendo wake binafsi wa kisiasa ndio umegeuka kuwa taswira ya mwenendo wa CCM kwa ujumla kwa sasa.
Mimi na baadhi ya wanaCCM wenzangu tunaoamini katika siasa za UTU, AMANI na UUNGWANA ambazo ndio msingi wa siasa za TANU toka enzi hizo, tunapenda kutoa wito kwa mamlaka za juu za CCM kufanya maamuzi sahihi na ya haraka kwa kuamua kumtimua ndani ya CCM Mheshimiwa Mwigulu Nchemba kwa sababu:
1/Ameharibu na ataendelea kuharibu taswira nzima ya CCM katika jamii kutokana na aina ya siasa anazofanya ambazo ni Matusi, Uzushi, Fujo, Hongo, Vitisho na sasa Mauaji.
2/Hasara za kiuchumi, kijamii na kisiasa ambazo CCM inazipata kutokana na utendaji duni sana wa Mwigulu kisiasa.
3/Hatari mbaya za kisiasa ambazo zinainyemelea CCM kutokana na makosa makubwa ya makusudi yanayofanywa na Mwigulu katika siasa ambayo soon wapinzani wa CCM tayari wameshaanza kuyatumia tena vizuri sana.
*Please wanaCCM wenye kuipenda kwa dhati CCM ya enzi za Nyerere(TANU), tuungane pamoja katika hili.
Hivi ukimtosa mwigulu na kuwaacha watu wengine kama kina nape na nk utakuwa umefanya nini? CCM inatakiwa kuvunjwa.
Kwanza huwezi kuwa mwanaCCM kabla hata ya maelezo yako. This is bavicha at its best.
CCM siyo movement au genge la watu wachache ambao maamuzi yanatolewa hata wakiwa kwenye vilabu vya starehe.
CCM tuna vikao na katika vikao ndiyo maamuzi yanatolewa. JF siyo ofisi za CCM. Nafikiri umekosema, huu ushauri kawape wapinzani wa CCM.
Mwigulu Nchemba ataendelea kuwawewesesha sana. It's only 2013.
Kwa sasa mmekosa hoja mbadala na mnakuja na hizi hoja zenu za kupaka watu na viongozi wa kisiasa matope lakini pia shukrani ziwaendee kwa sababu wachache wenu mmeanza kugundua kuwa kwa sasa CCM imedhithubutu. HAKUNA pa kutokea.
Toka lini bavicha ikatoa ushauri kwa baba wa demokrasia nchini (CCM).
Ushauri wenu CCM wataukubali kama mtaacha fikra za kibavicha bavicha.
Bavicha ni janga la Taifa na tuipige vita kama ukoma.
Mwigulu anabaraka zote toka kwa Kikwete.muuaji mwigulu ni jembe ndani ya ccm!
Mkuu kanisa imekujaje hapa?
Kimsingi chadema wanaomba sana Mwigulu aendelee kuiharibu ccm kwa mikono yake, maana anaisaidia chadema kukubalika kirahisi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hapana mimi napingana na wewe kwa sababu zifuatazo :Mwigulu Nchemba ni naibu katibu wa CCM Tanzania bara(Tanganyika!) na pia ni mbunge wa Iramba magharibi.
Mwenendo wake binafsi wa kisiasa ndio umegeuka kuwa taswira ya mwenendo wa CCM kwa ujumla kwa sasa.
Mimi na baadhi ya wanaCCM wenzangu tunaoamini katika siasa za UTU, AMANI na UUNGWANA ambazo ndio msingi wa siasa za TANU toka enzi hizo, tunapenda kutoa wito kwa mamlaka za juu za CCM kufanya maamuzi sahihi na ya haraka kwa kuamua kumtimua ndani ya CCM Mheshimiwa Mwigulu Nchemba kwa sababu:
1/Ameharibu na ataendelea kuharibu taswira nzima ya CCM katika jamii kutokana na aina ya siasa anazofanya ambazo ni Matusi, Uzushi, Fujo, Hongo, Vitisho na sasa Mauaji.
2/Hasara za kiuchumi, kijamii na kisiasa ambazo CCM inazipata kutokana na utendaji duni sana wa Mwigulu kisiasa.
3/Hatari mbaya za kisiasa ambazo zinainyemelea CCM kutokana na makosa makubwa ya makusudi yanayofanywa na Mwigulu katika siasa ambayo soon wapinzani wa CCM tayari wameshaanza kuyatumia tena vizuri sana.
*Please wanaCCM wenye kuipenda kwa dhati CCM ya enzi za Nyerere(TANU), tuungane pamoja katika hili.